Wahandisi wa Kampuni ya Viscas ya Ulazaji waya wa Umeme kutoka Nchini Japan alipowasili katika Bandari ya Malindi Mjini Unguja kuupokea na kuukagua waya huo wa Umeme utakaolazwa kwa siku Kumi na mbili kutoka Ras-Kiromoni Dar es Salaam hadi Ras-Fumba Zanzibar. [Picha na Ramadhan Othman, Ikulu]
Dk. Shein Apokea Waya wa Umeme Utakaopitishwa Baharini
