Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Uchambuzi
  • Page 39

Category: Uchambuzi

Porojo za Anko Kidevu na Press Card za Maelezo

Posted on: January 9, 2015 - jomushi
Post Tags: Idara ya Maelezo, Press Card
Porojo za Anko Kidevu na Press Card za Maelezo

WASOMAJI  na wadau wangu nawasalimu na naimani kuwa Mwenyezi Mungu ametujalia tumeuona mwaka mpya wa 2015 salama salmini. Nawatakia heri na fanaka katika mwaka huu pia na…

Continue Reading....

Azimio la Mtwara – Uwajibikaji Katika Uvunaji wa Maliasili ya Nchi Yetu

Posted on: January 6, 2015January 6, 2015 - jomushi
Post Tags: Azimio la Mtwara, Maliasili ya Nchi
Azimio la Mtwara – Uwajibikaji Katika Uvunaji wa Maliasili ya Nchi Yetu

TANZANIA kama zilivyo nchi nyingi za bara la Afrika imejaaliwa kuwa na Rasilimali mbali mbali za asili. Miongoni mwa rasilimali hizo ni pamoja na Madini…

Continue Reading....

Kwanini Bei ya Mafuta Haishuki kwa Kasi?

Posted on: January 4, 2015 - jomushi
Post Tags: Dizeli, EWURA, Petroli
Kwanini Bei ya Mafuta Haishuki kwa Kasi?

KUANZIA Mwezi Julai mwaka 2014 mpaka Desemba, bei ya mafuta ghafi imekuwa ikishuka kutoka $110 kwa pipa mpaka $56 kwa pipa. Mporomoko huu wa bei…

Continue Reading....

Maneno ya Rais Kikwete kwa Watanzania 2015

Posted on: January 1, 2015 - jomushi
Post Tags: Rais Kikwete, Watanzania 2015
Maneno ya Rais Kikwete kwa Watanzania 2015

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa neno la shukurani kwa Mashekhe wa Bagamoyo na wananchi kwa kumuandalia hafla ya kumuombea dua katika mkesha wa mwaka mpya kijijini…

Continue Reading....

Kitabu Kilichobadili Mtazamo wa Maisha ya Zitto Kabwe

Posted on: December 28, 2014 - jomushi
Post Tags: Kitabu, Maisha, Zitto Kabwe
Kitabu Kilichobadili Mtazamo wa Maisha ya Zitto Kabwe

MWAKA 2014 nimesoma vitabu 53 na nimefanya uchambuzi wa vitabu 21 kupitia safu ya Kitabu na Kalamu ya gazeti la Raia Tanzania kila Jumatatu. Tangu…

Continue Reading....

Ujumbe wa Sikuu Kuu ya Chrismass Toka kwa Anko Kidevu

Posted on: December 25, 2014December 25, 2014 - jomushi
Ujumbe wa Sikuu Kuu ya Chrismass Toka kwa Anko Kidevu

  KESHO ni siku ya Siku Kuu, pasi na shaka hakuna mtu ambaye halijui hilo. Siku Kuu ya Chrismas na mwaka mpya ni siku kuu ambazo hufuatana na…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari