Gari aina ya fuso lenye namba za usajili T115 ANZ likiwa limepinduka na mizigo kuzagaa baada ya kupata ajali mkoani Iringa jana. Katika ajali hiyo…
Continue Reading....Category: Matukio Katika Picha
Bongo movie wakikaguliwa kabla ya pambano
Mbunge wa Ilemela Mh. Highness Kiwia akisalimiana na Steve Nyerere ‘Messi’ wa Bongo Movie Stars kabla ya mchezo. (Picha na John Bukuku wa Full Shangwe)
Continue Reading....Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi Ofisi ya Mwanasheria Mkuu
Wajumbe wa mkutano wa Baraza la wafanyakazi ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumalizika kufunguliwa kwa mkutano…
Continue Reading....Wafungwa wa kesi za EPA wakielekea gerezani
Washitakiwa katika kesi ya wizi wa Sh bilioni 1.8 katika Akaunti ya madeni ya nje (EPA) ndani ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Farijala Hussein…
Continue Reading....Dk Mahanga asaidia vicoba Kimanga D’Salaam
MBUNGE wa Jimbo la Segerea, Dk. Makongoro Mahanga akikabidhi sh. 500,000 kwa umoja wa VICOBA katika Mtaa Tembomgwaza Kata ya Kimanga, Dar es Salaam wakati…
Continue Reading....Rais Kikwete ahani msiba wa Shekh Yahya Hussein
Rais Kikwete akipokewa na Hassan Yahya Hussein, Mtoto mkubwa wa Marehemu Sheikh Yahya Hussein alipokwenda kuhani msiba wa mnajimu huyo maarufuf nyumbani kwa Marehemu Magomeni…
Continue Reading....