Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Matukio Katika Picha
  • Page 132

Category: Matukio Katika Picha

Mwenyekiti wa Chama Cha CCM Rais Mstaafu Jakaya Kikwete Atua Mkoani Singida

Posted on: February 5, 2016February 5, 2016 - Yohana Chance
Mwenyekiti wa Chama Cha CCM Rais Mstaafu Jakaya Kikwete Atua Mkoani Singida

Mwenyekiti wa CCM, Rais mstaafu Jakaya Kikwete akilakiwa na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana alipowasili mjini Singida jana jioni, kwa ajili ya maadhimisho ya…

Continue Reading....

Kwa Mwendo Huu wa Barcelona Wengi Watalia Mwaka Huu

Posted on: February 4, 2016 - Yohana Chance
Kwa Mwendo Huu wa Barcelona Wengi Watalia Mwaka Huu

Klabu ya Valencia chini ya nyota wa zamani wa Manchester United Gary Neville ilipokezwa kichapo cha mwaka na klabu ya Barcelona katika nusufainali ya michuano…

Continue Reading....

Waajiriwa Waomba Serikali Kudhibiti Rushwa Maofisini

Posted on: February 4, 2016 - Yohana Chance
Waajiriwa Waomba Serikali Kudhibiti Rushwa Maofisini

Na Woinde Shizza,Arusha Chama cha Waajiri nchini kimelalamikia vitendo vya rushwa kuwa vikwazo katika biashara hivyo wameiomba serikali kukemea vitendo vya rushwa pamoja na urasimu…

Continue Reading....

Madiwani Halmashauri ya Arusha DC Wilaya ya Arumeru Wapitisha Taarifa Halmashauri Hiyo

Posted on: February 3, 2016February 3, 2016 - Yohana Chance
Madiwani Halmashauri ya Arusha DC Wilaya ya Arumeru Wapitisha Taarifa Halmashauri Hiyo

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Arusha DC wilaya ya Arumeru mkoa wa Arusha,Fidelis Lumato akizungumza wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani,kulia ni Mwenyekiti wa…

Continue Reading....

Maadhimisho ya Miaka 39 ya Kuzaliwa kwa CCM Singida

Posted on: February 3, 2016 - jomushi
Post Tags: CCM Singida
Maadhimisho ya Miaka 39 ya Kuzaliwa kwa CCM Singida

     Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akilakiwa na wakina mama…

Continue Reading....

Sheikh Issa Ponda Apinga Kurudiwa Uchaguzi Zanzibar

Posted on: February 3, 2016 - jomushi
Post Tags: Sheikh Issa Ponda
Sheikh Issa Ponda Apinga Kurudiwa Uchaguzi Zanzibar

 Katibu wa Jumuiya na Taasisi ya Kiislam Tanzania, Sheikh Issa Ponda (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, wakati akitoa taarifa ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari