Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Matukio Katika Picha
  • Page 117

Category: Matukio Katika Picha

Watoto chini ya miaka 5 Kunufaika na Upimaji wa Afya bure kutoka Bango Sangho

Posted on: March 10, 2016March 10, 2016 - jomushi
Watoto chini ya miaka 5 Kunufaika na Upimaji wa Afya bure kutoka Bango Sangho

Umoja wa Watu kutoka Bengali, India wanaoishi Tanzania (Bango Sangho) unataraji kutoa huduma ya upimaji wa afya bure kwa watoto walio na umri chini ya…

Continue Reading....

Rais Magufuli Ashtukiza BoT, Atoa Agizo la Kusitiza Ulipaji wa Malimbikizo

Posted on: March 10, 2016March 10, 2016 - Yohana Chance
Rais Magufuli Ashtukiza BoT, Atoa Agizo la Kusitiza Ulipaji wa Malimbikizo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili katika Ofisi za Benki Kuu ya Tanzania BOT kabla ya kuzungumza na…

Continue Reading....

Chelsea Yatupwa nje Michuano ya UEFA Baada ya Kuchapwa na PSG

Posted on: March 10, 2016 - Yohana Chance
Chelsea Yatupwa nje Michuano ya UEFA Baada ya Kuchapwa na PSG

Klabu ya PSG imezima ndoto za Chelsea kusonga mbele kwenye michuano ya mabingwa Ulaya kwa mara nyingine baada ya Zlatan Ibrahimovich kuifungia bao la ushindi…

Continue Reading....

Aliyechezesha Simba na Yanga, Sasa Kucezesha Kombe la Dunia

Posted on: March 10, 2016 - Yohana Chance
Aliyechezesha Simba na Yanga, Sasa Kucezesha Kombe la Dunia

Mwamuzi wa kike wa Kimataifa wa Tanzania mwenye beji ya FIFA, Jonesia Rukyaa ameteuliwa kuungana na waamuzi kutoka nchini Kenya kuchezesha mchezo wa kuwania kufuzu…

Continue Reading....

Mapokezi ya Lulu yafunika, Apongezwa kuipeperusha bendera ya Tanzania kimataifa

Posted on: March 9, 2016 - jomushi
Mapokezi ya Lulu yafunika, Apongezwa kuipeperusha bendera ya Tanzania kimataifa

 Msanii Eliabeth Michael Lulu akiwasili kutokea nchini Nigeria akiwa na Tunzo yake mkononi ambayo alishinda nchini Nigeria katika Mashindano ya Africa Magic Viewers Choice Awards…

Continue Reading....

Rais wa Vietnam Awasili Tanzania, Apokewa na Magufuli

Posted on: March 9, 2016 - jomushi
Post Tags: Rais wa Vietnam
Rais wa Vietnam Awasili Tanzania, Apokewa na Magufuli

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari