Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Matukio Katika Picha
  • Page 116

Category: Matukio Katika Picha

Internews Yakutanisha Wahariri Kujadili Mustakabali wa Taaluma

Posted on: March 13, 2016 - jomushi
Post Tags: Wahariri Vyombo vya Habari
Internews Yakutanisha Wahariri Kujadili Mustakabali wa Taaluma

Continue Reading....

Barcelona Haishikiki La Liga, Getafe Achapwa Sita Camp Nou

Posted on: March 12, 2016 - Yohana Chance
Barcelona Haishikiki La Liga, Getafe Achapwa Sita Camp Nou

Barcelona imeibuka na ushindi wa mabao 6-0 dhidi ya Getafe katika mchezo wa La Liga jioni ya leo Uwanja wa Camp Nou. Katika mchezo huo,…

Continue Reading....

Manchester City Yaanza Kupoteza Matumaini ya Ligi Kuu Uingereza

Posted on: March 12, 2016 - Yohana Chance
Manchester City Yaanza Kupoteza Matumaini ya Ligi Kuu Uingereza

Matumaini ya Manchester City ya kutaka kushinda ligi ya Uingereza msimu huu yamedidimia baada ya kutoka sare ya 0-0 na kilabu ya Norwich City na…

Continue Reading....

Mkurugenzi wa Radio France Internationale (RFI) Bi. Megie Amtembelea Waziri Wambura

Posted on: March 11, 2016March 11, 2016 - Yohana Chance
Mkurugenzi wa Radio France Internationale (RFI) Bi. Megie Amtembelea Waziri Wambura

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaana Michezo Mhe.Anastazia Wambura akimkaribisha Mkurugenzi wa Radio France Internationale (RFI) Bi.Cecile Megie ofisini kwake alipomtembelea kwaajili ya kufahamiana na…

Continue Reading....

Liverpool Yazima Ndoto za Manchester United Kubeba Ndoo ya EUROPA

Posted on: March 11, 2016 - Yohana Chance
Liverpool Yazima Ndoto za Manchester United Kubeba Ndoo ya EUROPA

Mashetani wekundu wa Man United wameambulia kichapo cha mabao 2-0 na Liverpool katika mchezo uliopigwa katika dimba la Anfield, Dany Sturridge, alifunga goli la kwanza…

Continue Reading....

Spurs Yaangukia Pua Ujerumani Kwenye Uwanja wa Iduna Park

Posted on: March 11, 2016 - Yohana Chance
Spurs Yaangukia Pua Ujerumani Kwenye Uwanja wa Iduna Park

Klabu ya Tottenham Hotspurs wakicheza ugenini katika dimba Signal Iduna Park huko nchi Ujeruman wamekubali kichapo cha mabao 3-0 . Pierre-Emerick Aubameyang ndie aliyeanza kuifunga…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari