Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Matukio Katika Picha
  • Page 109

Category: Matukio Katika Picha

Wabunge Kamati ya Maendeleo Miundombinu Watembelea Daraja Kigamboni

Posted on: March 30, 2016 - jomushi
Post Tags: Daraja KIgamboni
Wabunge Kamati ya Maendeleo Miundombinu Watembelea Daraja Kigamboni

Continue Reading....

Mwanasaikolojia Awafunda Wajasiriamali wa Vipodozi Dodoma

Posted on: March 30, 2016 - jomushi
Post Tags: Vipodozi
Mwanasaikolojia Awafunda Wajasiriamali wa Vipodozi Dodoma

   MWANASAIKOLOJIA Anti Sadaka amewafunda wanawake wa Mkoa wa Dodoma wanaoshiriki mafunzo ya ujasiriamali ya kujikita katika biashara ya Vipodozi vya LuvTouch Manjano. Mafunzo hayo yanaendeshwa…

Continue Reading....

Rais Dkt Magufuli Awasili Chato Mkoani Geita Kwa Mara ya Kwanza Tangu Awe Rais

Posted on: March 30, 2016 - Yohana Chance
Rais Dkt Magufuli Awasili Chato Mkoani Geita Kwa Mara ya Kwanza Tangu Awe Rais

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Geita Meja Jenerali Mstaafu Ezikiel Elias Kyunga kulia…

Continue Reading....

Waziri Prof Mbarawa Ahimiza Taasisi Kutumia Kituo cha Taarifa cha Taifa

Posted on: March 29, 2016March 29, 2016 - jomushi
Post Tags: Data Centre- TTCL
Waziri Prof Mbarawa Ahimiza Taasisi Kutumia Kituo cha Taarifa cha Taifa

  Mkuu wa Idara ya Mfumo wa Habari wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) Khalfa Ally (kwanza kulia) akielezea namna Kituo cha Taifa cha Kuhifadhia…

Continue Reading....

Rais Dkt. Magufuli Amuapisha Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Chiku Gallawa

Posted on: March 29, 2016 - Yohana Chance
Rais Dkt. Magufuli Amuapisha Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Chiku Gallawa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimuapisha Luteni Mstaafu Chiku Gallawa kuwa mkuu wa mkoa mpya wa Songwe Ikulu…

Continue Reading....

Rais Dkt. Magufuli Apokea Taarifa ya Ukaguzi wa Hesabu zaSerikali Kutoka kwa Mkuguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)

Posted on: March 29, 2016 - Yohana Chance
Rais Dkt. Magufuli Apokea Taarifa ya Ukaguzi wa Hesabu zaSerikali Kutoka kwa Mkuguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akipokea Taarifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali kutoka kwa Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari