Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Vijijini
  • Page 9

Category: Habari za Vijijini

UNESCO Yawafunda Wanakijiji Ololosokwani

Posted on: February 4, 2015 - jomushi
Post Tags: Kidijitali, Ololosokwani, UNESCO
UNESCO Yawafunda Wanakijiji Ololosokwani

Afisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) Bw. Al Amin Yusuph akibadilishana mawazo na Mkurugenzi…

Continue Reading....

Wanakijiji Kilombero Kumburuza Mwekezaji Mahakamani

Posted on: January 29, 2015 - jomushi
Post Tags: Kilombero, Mahakamani, Wanakijiji
Wanakijiji Kilombero Kumburuza Mwekezaji Mahakamani

 Mwangalizi wa LHRC, Wilaya ya Kilombero, Godfrey Lwena (kushoto), akizungumza katika mkutano huo kuhusu mgogoro wa ardhi dhidi mwekezaji wa Kampuni ya Usafirishaji ya Union ambaye…

Continue Reading....

UNESCO, MWEDO Kuwapelekea Digitali Wamasai Ololosokwan

Posted on: January 28, 2015 - jomushi
Post Tags: Digitali, MWEDO, UNESCO, Wamasai
UNESCO, MWEDO Kuwapelekea Digitali Wamasai Ololosokwan

Mkurugenzi Mtendaji wa asasi ya Maendeleo ya wanawake wa Kimasai (MWEDO),  Ndinini Kimesera (kushoto) akimkaribisha Mkurugenzi Mkazi wa Unesco nchini, Zulmira Rodrigues kwenye ofisi za…

Continue Reading....

Unyama: Mwenyekiti wa Kijiji Auwawa, Viungo Vyake Vyapikwa

Posted on: January 25, 2015 - jomushi
Post Tags: Kijiji Auwawa, Mwenyekiti, Unyama
Unyama: Mwenyekiti wa Kijiji Auwawa, Viungo Vyake Vyapikwa

NI unyama wa kutisha umetokea katika Kijiji cha Songambele wilayani Mlele mkoani Katavi watu wawili wamemvamia Mwenyekiti wa Kijiji cha Songambele kisha kumuuwa kwa kutenganisha…

Continue Reading....

Ulevi kwa Wazazi Kikwazo cha Malezi Kata ya Tembela

Posted on: January 13, 2015January 13, 2015 - jomushi
Post Tags: Malezi, Mbeya Vijijini, Ulevi wa Pombe
Ulevi kwa Wazazi Kikwazo cha Malezi Kata ya Tembela

KITENDO cha baadhi ya wazazi kuendekeza unywaji wa pombe za kienyeji katika baadhi ya vijiji vilivyopo Kata ya Tembela Wilaya ya Mbeya Vijijini kimesababisha wazazi…

Continue Reading....

Familia Newala Zachangia Kuwalinda Wanyanyasaji

Posted on: December 28, 2014 - jomushi
Post Tags: Familia, Newala, Wanyanyasaji
Familia Newala Zachangia Kuwalinda Wanyanyasaji

MKUU wa Polisi Wilaya ya Newala (OCD), Jeremiah Shila amesema baadhi ya wanafamilia wilayani hapo wamekuwa kikwazo kwa mapambano dhidi ya vitendo anuai vya kikatili…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari