Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Uchunguzi
  • Page 6

Category: Habari za Uchunguzi

Thamani ya Fedha Kenya ‘Yawaachisha’ Shule Wanafunzi Rombo

Posted on: May 17, 2013 - jomushi
Thamani ya Fedha Kenya ‘Yawaachisha’ Shule Wanafunzi Rombo

Na Joachim Mushi, Rombo KUFANYA vizuri kwa thamani ya fedha ya Kenya (Kshs) tofauti na ile ya Tanzania (Tshs) kumechangia kwa namna moja kuiathiri Wilaya…

Continue Reading....

Shughuli za mpakani zaathiri elimu ya sekondari Rombo

Posted on: May 16, 2013 - jomushi
Shughuli za mpakani zaathiri elimu ya sekondari Rombo

Na Joachim Mushi, Rombo SHUGHULI za biashara zinazoendeshwa maeneo kadhaa ya mpakani mwa Tanzania na Kenya katika Wilaya ya Rombo zimeathiri maendeleo ya elimu hasa…

Continue Reading....

Wilaya ya Rombo Kutumia Nyuki Kupambana na Tembo Wavamizi

Posted on: May 14, 2013May 16, 2013 - jomushi
Wilaya ya Rombo Kutumia Nyuki Kupambana na Tembo Wavamizi

Na dev.kisakuzi.com, Rombo HALMASHAURI ya Wilaya ya Rombo imeanza mipango ya kutumia ufugaji wa nyuki kukabiliana na tembo waharibifu ambao mara kadhaa huvamia baadhi ya…

Continue Reading....

Ushahidi Kesi za Kubaka/Mimba ni Changamoto Handeni

Posted on: April 14, 2013 - jomushi
Ushahidi Kesi za Kubaka/Mimba ni Changamoto Handeni

Na Joachim Mushi, Handeni “KESI nyingi za tuhuma za kubaka na mimba kwa wanafunzi zinazotufikia zinashindwa kufikia hukumu maana mashahidi wanashindwa kuthibitisha pasipo shaka…nyingi zinaharibika…

Continue Reading....

Mwanafunzi Kidato cha Pili Abebeshwa Mzigo Kulea Familia

Posted on: April 4, 2013 - jomushi
Mwanafunzi Kidato cha Pili Abebeshwa Mzigo Kulea Familia

Na Joachim Mushi, Handeni MWANAFUNZI wa kidato cha pili Shule ya Sekondari Komnyang’anyo, Mwenjuma Magalu (16) amejikuta akibeba mzigo wa kulea familia baada ya familia…

Continue Reading....

Mwenjuma Magalu: TAMWA Imerejesha Ndoto Zangu Kielimu

Posted on: April 3, 2013April 3, 2013 - jomushi
Mwenjuma Magalu: TAMWA Imerejesha Ndoto Zangu Kielimu

Na Joachim Mushi, Handeni “BAADA ya kumaliza darasa la saba nilichaguliwa kuendelea na masomo ya sekondari, lakini sikufanikiwa kuendelea na elimu hiyo kutokana na uwezo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari