Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 99

Category: Michezo

Ni Mechi ya Kisasi kati ya Liverpool na Manchester United EUROPA Ligi Leo

Posted on: March 10, 2016March 10, 2016 - Yohana Chance
Ni Mechi ya Kisasi kati ya Liverpool na Manchester United EUROPA Ligi Leo

Meneja wa timu ya Liverpool Jurgen Klopp ameitaja mechi ya leo Alhamisi ya kombe la Europa kati ya Liverpool na Manchster United kuwa mechi kubwa…

Continue Reading....

Chelsea Yatupwa nje Michuano ya UEFA Baada ya Kuchapwa na PSG

Posted on: March 10, 2016 - Yohana Chance
Chelsea Yatupwa nje Michuano ya UEFA Baada ya Kuchapwa na PSG

Klabu ya PSG imezima ndoto za Chelsea kusonga mbele kwenye michuano ya mabingwa Ulaya kwa mara nyingine baada ya Zlatan Ibrahimovich kuifungia bao la ushindi…

Continue Reading....

Yanga Yakwea Pipa Kuelekea Rwanda Kuikabili APR Ligi ya Mabingwa

Posted on: March 10, 2016 - Yohana Chance
Yanga Yakwea Pipa Kuelekea Rwanda Kuikabili APR Ligi ya Mabingwa

Na; binzubeiry.co.tz YANGA SC inapanda ndege leo kwenda Kigali, Rwanda kwa ajili ya mchezo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza, Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi…

Continue Reading....

Simba Kushuka Dimbani Leo, Kagera Sugar Wabaniwa na Prison

Posted on: March 10, 2016 - Yohana Chance
Simba Kushuka Dimbani Leo, Kagera Sugar Wabaniwa na Prison

BAO pekee la mshambuliaji Ally Ahmed ‘Shiboli’ jana limeipa ushindi wa 1-0 Coastal Union dhidi ya ndugu zao, Mgambo JKT katika mchezo wa Ligi Kuu…

Continue Reading....

Aliyechezesha Simba na Yanga, Sasa Kucezesha Kombe la Dunia

Posted on: March 10, 2016 - Yohana Chance
Aliyechezesha Simba na Yanga, Sasa Kucezesha Kombe la Dunia

Mwamuzi wa kike wa Kimataifa wa Tanzania mwenye beji ya FIFA, Jonesia Rukyaa ameteuliwa kuungana na waamuzi kutoka nchini Kenya kuchezesha mchezo wa kuwania kufuzu…

Continue Reading....

Mohamed Mkopi wa Prison Mchezaji Bora wa Mwezi Apewa Milioni Moja

Posted on: March 10, 2016 - Yohana Chance
Mohamed Mkopi wa Prison Mchezaji Bora wa Mwezi Apewa Milioni Moja

Mshambuliaji Mohamed Mkopi wa timu ya Tanzania Prisons amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa Februari kwa Ligi Kuu ya Vodacom msimu huu wa 2015/2015. Mkopi katika…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari