Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 362

Category: Michezo

Azam FC yatoka suluu na SC Villa ya Uganda

Posted on: August 11, 2011 - jomushi
Azam FC yatoka suluu na SC Villa ya Uganda

Kampala, TIMU ya Azam FC imetoka sare na Timu ya Mpira wa Miguu ya SC Villa ya nchiniUganda. Katika mchezo huo uliochezwa jana mjini Kampala,…

Continue Reading....

TFF yatupilia mbali pingamizi la Yanga dhidi ya Simba

Posted on: August 9, 2011 - jomushi
TFF yatupilia mbali pingamizi la Yanga dhidi ya Simba

KAMATI haikusikiliza pingamizi la Yanga dhidi ya Simba kuhusu wachezaji iliyotoa kwa mkopo baada ya kubaini kuwa wachezaji ambao Simba imewatoa kwa mkopo ni wane…

Continue Reading....

MECHI YA STARS, SUDAN YAFUTWA

Posted on: August 8, 2011 - jomushi
MECHI YA STARS, SUDAN YAFUTWA

CHAMA cha Mpira wa Miguu Sudan (SFA) kimefuta mechi ya kirafiki kati ya Taifa Stars na timu ya Taifa ya nchi hiyo ‘Nile Crododile’ iliyokuwa…

Continue Reading....

JAN POULSEN AONGEZA WAWILI STARS

Posted on: August 6, 2011 - jomushi
JAN POULSEN AONGEZA WAWILI STARS

KOCHA Mkuu wa Taifa Stars, Jan Poulsen amewaita kwenye kikosi hicho wachezaji Juma Jabu kutoka Simba na Ramadhan Chombo ‘Redondo’ wa Azam FC kwa ajili…

Continue Reading....

SERENGETI BOYS WAITWA MAZOEZINI

Posted on: August 6, 2011 - jomushi
SERENGETI BOYS WAITWA MAZOEZINI

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 (Serengeti Boys), Kim Poulsen na msaidizi wake Jamhuri Kihwelo wameita wachezaji…

Continue Reading....

Nyota wa soka Japan Naoki afariki dunia

Posted on: August 6, 2011 - jomushi
Nyota wa soka Japan Naoki afariki dunia

MCHEZAJI Kandanda wa Japan, Naoki Matsuda amefariki dunia siku mbili baada ya kupoteza fahamu uwanjani akiwa mazoezini huku ikiaminika kifo chake kimetokana na maradhi ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari