Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 359

Category: Michezo

African Lyon kuwalipa Komba, Masenga kwa viingilio

Posted on: August 20, 2011 - jomushi
African Lyon kuwalipa Komba, Masenga kwa viingilio

Na Mwandishi Wetu TIMU ya African Lyon imeomba kuwalipa kwa makato ya mlangoni wachezaji wake wawili wanaoidai; Godfrey Komba na Abdul Masenga ambao ilikatiza mikataba…

Continue Reading....

Timu washiriki Ligi Kuu kulamba mil 26.3 kila moja

Posted on: August 19, 2011 - jomushi
Timu washiriki Ligi Kuu kulamba mil 26.3 kila moja

Na Mwandishi Wetu KILA timu inayoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania inatarajia kupewa jumla ya sh. milioni 26.3, fedha zitakazotumika kama gharama ya klabu katika…

Continue Reading....

Msimu mpya Ligi Kuu kuanza kesho, timu 10 kupambana

Posted on: August 19, 2011 - jomushi
Msimu mpya Ligi Kuu kuanza kesho, timu 10 kupambana

Na Mwandishi Wetu MSIMU mpya wa Ligi Kuu ya Vodacom 2011/12 unaanza kesho, Agosti 20 mwaka huu, ambapo timu 10 kati ya 14 zinazoshiriki katika…

Continue Reading....

Stars, kuikaribisha Algeria Mwanza

Posted on: August 18, 2011August 18, 2011 - jomushi
Stars, kuikaribisha Algeria Mwanza

MECHI ya mchujo ya kuwania tiketi ya kucheza fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (CAN) zitakazofanyika mwakani nchini Equatorial Guinea na Gabon kati ya…

Continue Reading....

Uefa wamkalia kooni Wenger

Posted on: August 18, 2011August 18, 2011 - jomushi
Uefa wamkalia kooni Wenger

ARSENE Wenger huenda akakabiliwa na hatua zaidi za nidhamu kutoka Uefa baada ya kuthibitishwa mawasiliano yake na benchi la ufundi la Arsenal yanachunguzwa. Wenger alikuwa…

Continue Reading....

Breaking Newz, Simba wapeleka kilio Jangwani, waikung’uta Yanga 2-0

Posted on: August 17, 2011August 18, 2011 - jomushi
Breaking Newz, Simba wapeleka kilio Jangwani, waikung’uta Yanga 2-0

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam HADI pambano la ngao ya hisani kati ya Simba na Yanga linalofanyika katika uwanja wa taifa Dar es Salaam…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari