Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 355

Category: Michezo

Twiga Stars yalabwa 2-1

Posted on: September 6, 2011 - jomushi
Twiga Stars yalabwa 2-1

TIMU ya wanawake ya Taifa ya Tanzania (Twiga Stars) imepoteza mechi yake ya kwanza ya michezo ya All Africa Games (AAG) baada ya leo kufungwa…

Continue Reading....

Bongo Starz yaichapa Ivory Coast bao 4 kwa 1!

Posted on: September 5, 2011September 6, 2011 - Rungwe Jr.
Bongo Starz yaichapa Ivory Coast bao 4 kwa 1!

Na Mwandishi Wetu, Los Angeles, CA ILE siku ya Septemba 3, ambayo ilikuwa ikisubiriwa na wa-Afrika wengi hapa jijini Los Angeles iliwadia. Timu 24 za…

Continue Reading....

Kliniki ya mafunzo mchezo wa kikapu kuanza Sept 6

Posted on: September 5, 2011 - jomushi
Kliniki ya mafunzo mchezo wa kikapu kuanza Sept 6

Balozi wa Marekani nchini Tanzania kuifungua Na Moshi Stewart, MAELEZO-Dar es Salaam SHIRIKISHO la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF) kwa kushirikiana na Ubalozi wa Marekani…

Continue Reading....

Pambano la Stars na Algeria laingiza mil 148

Posted on: September 5, 2011 - jomushi
Pambano la Stars na Algeria laingiza mil 148

PAMBANO la mchujo kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika zitakazofanyika mwakani nchini Equatorial Guinea na Gabon kati ya timu ya…

Continue Reading....

Guinness yapata wakali wa soka watakaokwenda Afrika Kusini

Posted on: September 4, 2011 - jomushi
Guinness yapata wakali wa soka watakaokwenda Afrika Kusini

MASHINDANO ya vipaji vya mpira ya ‘Guinness Football Challenge’ yamemalizika jana katika viwanja vya Leaders na kupatikana timu nane za watu wawili wawili kila timu…

Continue Reading....

Tevez asema ataheshimu mkataba Man City

Posted on: August 31, 2011 - jomushi
Tevez asema ataheshimu mkataba Man City

CARLOS Tevez amekiri itakuwa “vigumu” kuondoka Manchester City kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili msimu huu. Tevez alikuwa na matumaini angeondoka katika klabu hiyo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari