KIUNGO wa Timu ya Polisi Dodoma, Ibrahim Masawe amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Agosti katika Ligi Kuu ya Vodacom. Masawe alichaguliwa kwenye mechi namba…
Continue Reading....Category: Michezo
Ujue Msimamo wa Ligi Kuu ya Vodacom
LIGI Kuu ya Vodacom Tanzania inaendelea nchini. Je, wataka kujua timu gani inaongoza na nani anafunga mkia katika msimamo wa ligi hiyo? Basi BOFYA hapa…
Continue Reading....TFF, FIFA waandaa semina kwa wadau wa soka
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), kwa kushirikiana na Shirikisho la Mpira Duniani (FIFA) wameandaa semina ya siku tatu itakayofanyika Dar es Salaam kuanzia…
Continue Reading....Vodacom yadhamini mafunzo ya waandishi wa michezo
MAFUNZO kwa ajili ya waandishi wa habari za michezo yatafanyika mkoani Morogoro Oktoba 1 na 2 mwaka huu chini ya udhamini wa Kampuni ya simu…
Continue Reading....Kamati ya Nidhamu kukutana Sept 24 kuwajadili Rage, Sendeu
KAMATI ya Nidhamu na Usuluhishi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inatarajia kukutana tena Septemba 24 mwaka huu kwa ajili ya kusikiliza mashauri…
Continue Reading....TFF kuwasilisha mashtaka dhidi ya Sendeu
SEKRETARIETI ya TFF itawasilisha mashtaka dhidi ya Ofisa Habari wa Yanga, Louis Sendeu kwenye Kamati ya Nidhamu na Usuluhishi inayoongozwa na Kamishna wa Polisi mstaafu…
Continue Reading....