Mechi za wiki hii za Ligi Kuu ya Vodacom ni kama ifuatavyo; Oktoba 24- Coastal Union vs Polisi Dodoma (Uwanja wa Mkwakwani) Oktoba 24- African…
Continue Reading....Category: Michezo
Sabri Ramadhan aibuka Mchezaji Bora wa Sept
KIUNGO wa timu ya Coastal Union, Sabri Ramadhan ‘China’ amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Septemba katika Ligi Kuu ya Vodacom. Kwa mujibu wa taarifa…
Continue Reading....Poulsen ataja wachezaji wa U17 watakao kwea pipa
Na Mwandishi Wetu KOCHA wa Timu za Vijana Tanzania, Kim Poulsen ametaja kikosi cha Timu ya Vijana wa Chini ya Miaka 17. Kwa mujibu wa…
Continue Reading....India yaitandika England katika kriketi
India ikicheza nyumbani iliicharaza England 3-0 nakupata ushindi wa wiketi tano. Ikijitahidi ifanikiwe kupata runs 299, ilianza vyema kupitia wachezaji Ajinkya Rahane, aliyefanikiwa kupata runs…
Continue Reading....Kalou ataka nafasi zaidi Chelsea
SALOMON Kalou, mchezaji wa Ivory Coast ambaye huichezea Chelsea, ameielezea klabu hiyo kupata hakikisho kwamba atacheza mechi zaidi, kabla ya kukubali kutia saini mkataba mpya…
Continue Reading....FIFA kupambana na ufisadi duniani
RAIS wa shirikisho la soka Ulaya, UEFA Michel Platini anasema FIFA lazima kuimarisha sifa nzuri ulimwenguni Michel Platini, na wakauu wengine saba kutoka barani Ulaya,…
Continue Reading....