Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 344

Category: Michezo

TFF yamuengua Michael Wambura kungombea uongozi FAM

Posted on: October 25, 2011October 25, 2011 - jomushi
TFF yamuengua Michael Wambura kungombea uongozi FAM

Na Joachim Mushi KAMATI ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limemuengu Michael Wambura kugombea nafasi ya uenyekiti katika kinyang’anyiro cha uchaguzi…

Continue Reading....

Mechi ya Kagera Sugar Vs Coastal yasogezwa mbele

Posted on: October 25, 2011 - jomushi
Mechi ya Kagera Sugar Vs Coastal yasogezwa mbele

MECHI namba 89 ya Ligi Kuu ya Vodacom kati ya Kagera Sugar na Coastal Union iliyopangwa kufanyika Novemba 2 mwaka Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba…

Continue Reading....

TFF yawataja viingilio na waamuzi mechi ya Simba na Yanga

Posted on: October 25, 2011 - jomushi
TFF yawataja viingilio na waamuzi mechi ya Simba na Yanga

Na Mwandishi Wetu SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limetaja wamuzi watakao kuwa na kibarua cha kuchezesha mechi namba 78 ya Ligi Kuu ya…

Continue Reading....

Man United chali, yapigwa 6-1 kwao

Posted on: October 24, 2011October 24, 2011 - jomushi
Man United chali, yapigwa 6-1 kwao

MANCHESTER City imeizaba Manchester United 6-1 kwenye uwanja wa Old Trafford. Kinyume na matarajio ya Wengi, Man United walishindwa kabisa kuhimili vishindo vya majirani zao…

Continue Reading....

Chelsea nayo hola kwa QPR

Posted on: October 24, 2011 - jomushi
Chelsea nayo hola kwa QPR

Chelsea imebanwa na QPR na kuchapwa 1-0 katika mchezo uliojaa vuta nikuvute na kadi nyingi. Bao hilo pekee la QPR limefungwa na Heidar Helgoson katika…

Continue Reading....

Odinga: Kenya kuandaa Kombe la Dunia

Posted on: October 23, 2011 - jomushi
Odinga: Kenya kuandaa Kombe la Dunia

WAZIRI Mkuu wa Kenya amesema nchi hiyo inaweza kuandaa mashindano ya kandanda ya Kombe la Dunia hivi karibuni. Taarifa zinasema, Raila Odinga anataka nchi hiyo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari