Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 332

Category: Michezo

Sita wafariki katika ajali ya basi la wachezaji-Togo.

Posted on: November 28, 2011November 28, 2011 - jomushi
Sita wafariki katika ajali ya basi la wachezaji-Togo.

Watu sita walifariki baada ya basi lililokua likisafirisha wachezaji wa klabu ya mpira wa miguu Etoile Filante kudondoka katika korongo na kushika moto. Ajali hiyo…

Continue Reading....

Liverpool na Manchester City hakuna mbabe.

Posted on: November 28, 2011November 28, 2011 - jomushi
Liverpool na Manchester City hakuna mbabe.

Bao la kujifunga la Joleon Lescott lilifuta jitihada za awali za Vincent Kompany kufunga bao wakati Manchester City walipoongeza wigo wa pointi hadi tano wakiendelea…

Continue Reading....

Zanzibar yashindwa kutamba kwa Burundi

Posted on: November 27, 2011 - jomushi
Zanzibar yashindwa kutamba kwa Burundi

Na Mwandishi Wetu TIMU ya Zanzibar, imeshindwa kutumia fursa ya kucheza nyumbani huku ikishangilia na idadi kubwa ya mashabiki na wapenzi wa mpira wa miguu…

Continue Reading....

Zimbabwe yainyoa Djibouti Kombe la Tusker

Posted on: November 27, 2011 - jomushi
Zimbabwe yainyoa Djibouti Kombe la Tusker

Na Mwandishi Wetu TIMU ya Zimbabwe leo mchana imefanikiwa kiibanjua timu ya Djibouti mabao 2-0, katika Mashindano ya Kombe la Tusker Chalenji yanayoendelea jijini Dar…

Continue Reading....

Arsenal presha juu kwa Fulham

Posted on: November 27, 2011November 27, 2011 - jomushi
Arsenal presha juu kwa Fulham

Arsenal imeshindwa kuutumia vyema uwanja wa nyumbani baada ya kutoka sare ya 1-1 na Fulham. Beki wa Arsenal Thomas Vermaelen alijifunga mwenyewe na kuipa Fulham…

Continue Reading....

Man U haina jipya kwa Newcastle

Posted on: November 27, 2011November 27, 2011 - jomushi
Man U haina jipya kwa Newcastle

Manchester United imeshindwa kuutumia vyema uwanja wake wa nyumbani baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 na Newcastle United. Sare hiyo imeifanya Newcastle iliyo katika nafasi…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari