Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 289

Category: Michezo

Kim Poulsen awaita 21 kuunda Taifa Stars

Posted on: August 1, 2012 - jomushi
Kim Poulsen awaita 21 kuunda Taifa Stars

KOCHA Mkuu wa Taifa Stars, Kim Poulsen Agosti 1 mwaka huu ametangaza kikosi cha wachezaji 21 kwa ajili ya mechi ya kirafiki itakayochezwa ugenini Agosti…

Continue Reading....

Kocha Michelsen awaita 22 kuunda kambi ya COCA-COLA

Posted on: July 31, 2012 - jomushi
Kocha Michelsen awaita 22 kuunda kambi ya COCA-COLA

Na Mwandishi Wetu KOCHA wa timu za Taifa za vijana za Tanzania, Jakob Michelsen ameita wachezaji 22 kwa ajili ya michuano ya kimataifa ya Coca-Cola…

Continue Reading....

Hafidh Ali kusimamia mechi ya Wasudan

Posted on: July 29, 2012 - jomushi
Hafidh Ali kusimamia mechi ya Wasudan

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limemteua mwamuzi wa zamani wa kimataifa wa Tanzania, Hafidh Ali kuwa Kamishna wa mechi kati ya El Ahly…

Continue Reading....

NIGERIA U20 yawasili kuikabili Ngorongoro Heroes

Posted on: July 26, 2012July 26, 2012 - jomushi
NIGERIA U20 yawasili kuikabili Ngorongoro Heroes

TIMU ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 20 ya Nigeria (Flying Eagles) inatarajia kuwasili nchini leo (Julai 25 mwaka huu) saa 10…

Continue Reading....

TFF yawapongeza viongozi wapya DOREFA

Posted on: July 22, 2012 - jomushi
TFF yawapongeza viongozi wapya DOREFA

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linatoa pongezi kwa uongozi mpya wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dodoma (DOREFA) uliochaguliwa katika uchaguzi…

Continue Reading....

Uamuzi mzito usajili wa Kevin Yondani

Posted on: July 21, 2012July 21, 2012 - jomushi
Uamuzi mzito usajili wa Kevin Yondani

KAMATI ya Sheria, Maadili na Hadhi za wachezaji (ambayo katika uamuzi huu itarejewa kama ‘Kamati’) iliyokutana Julai 17 mwaka huu, baada ya kupitia mikataba na…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari