Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 285

Category: Michezo

Simba, Taifa Stars kukiputa na Uganda CHAN 2014

Posted on: September 7, 2012 - jomushi
Simba, Taifa Stars kukiputa na Uganda CHAN 2014

TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imepangiwa kucheza na Uganda (The Cranes) katika raundi ya kwanza ya michuano ya kuwania tiketi ya kucheza Fainali…

Continue Reading....

Simba, Mtibwa kuchangia Hospitali ya Temeke mchezo wa Ngao ya Jamii

Posted on: September 7, 2012 - jomushi
Simba, Mtibwa kuchangia Hospitali ya Temeke mchezo wa Ngao ya Jamii

ASILIMIA tano ya mapato yatakayopatikana kwenye mechi ya Ngao ya Jamii (Community Shield) kati ya Simba na Azam yatakwenda kwenye Hospitali ya Temeke mkoani Dar…

Continue Reading....

Tanzania yaibuka kidedea Copa Coca-Cola Afrika Kusini

Posted on: September 6, 2012 - jomushi
Tanzania yaibuka kidedea Copa Coca-Cola Afrika Kusini

Na Mwandishi Wetu KOMBAINI ya Tanzania ya Copa Coca-Cola imeshika nafasi ya pili katika kambi ya kimataifa ya michuano hiyo inayoendelea jijini Pretoria, Afrika Kusini.…

Continue Reading....

Serengeti Boys waenda Mbeya kujifua

Posted on: September 4, 2012 - jomushi
Serengeti Boys waenda Mbeya kujifua

Na Mwandishi Wetu TIMU ya taifa ya vijana wa umri wa chini ya miaka 17 (U.17) Serengeti Boys, wameondoka leo asubuhi kwenda mkoani Mbeya kuendelea…

Continue Reading....

Pingamizi zatawala Usajili wa Timu za Ligi kuu

Posted on: September 1, 2012 - jomushi
Pingamizi zatawala Usajili wa Timu za Ligi kuu

Klabu mbalimbali zimewasilisha Pingamizi Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kupinga usajili wa wachezaji 17 walioombewa usajili katika timu za Ligi Kuu. Toto Africans…

Continue Reading....

Kikosi cha Serengeti Boys kuivaa Misri

Posted on: August 29, 2012 - jomushi
Kikosi cha Serengeti Boys kuivaa Misri

Na Mwandishi Wetu TIMU ya Taifa ya Tanzania chini ya miaka 17 (Serengeti Boys) sasa itaivaa Misri kwenye raundi ya pili ya michuano ya kuwania…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari