MICHUANO ya Ligi Kuu ya Vodacom inaendelea Oktoba 13 mwaka huu kwa timu kumi kupambana kwenye viwanja vitano tofauti katika raundi ya saba ya ligi…
Continue Reading....Category: Michezo
Wagombea Sita Wawekewa Pingamizi TWFA
WAGOMBEA sita wa nafasi mbalimbali za uongozi katika Chama cha Mpira wa Miguu wa Wanawake Tanzania (TWFA) wamewekewa pingamizi na wadau wa mchezo huo. Kwa…
Continue Reading....Tenga Azitaka Kamati za Uchaguzi Kusimamia Maadili
RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Leodegar Tenga amezitaka Kamati za Uchaguzi kufanya kazi kwa kuzingatia Kanuni za Uchaguzi za Wanachama wa…
Continue Reading....Simba, JKT Oljoro Zavuna Mil. 46/-
*TFF Yatoa Pongezi kwa ARFA Na Mwandishi Wetu PAMBANO la Ligi Kuu ya Vodacom kati ya Simba na Oljoro JKT ya Arusha lililochezwa Oktoba 7…
Continue Reading....Ligi Daraja la Kwanza Oktoba 20, TFF Yawaadhibu Waamuzi Ligi Kuu
KAMATI ya Ligi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ilikutana Oktoba 5 mwaka huu kupitia na kufanya uamuzi katika masuala mbalimbali na kupanga…
Continue Reading....Serengeti Boys Kuvunja Kambi
Na Mwandishi Wetu TIMU ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 (Serengeti Boys) ambayo imepata tiketi ya kucheza raundi ya tatu ya…
Continue Reading....