Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 268

Category: Michezo

Azam, Coastal Kucheza Fainali Kombe la Uhai

Posted on: December 22, 2012 - jomushi
Azam, Coastal Kucheza Fainali Kombe la Uhai

Azam ya Dar es Salaam na Coastal Union ya Tanga ndizo zitakazoumana kwenye fainali ya michuano ya Kombe la Uhai 2012 itakayochezwa kesho jioni (Desemba…

Continue Reading....

Mchujo wa Ubingwa wa Madola (CBC) Kumkutanisha Mtanzania na Mghana

Posted on: December 21, 2012December 21, 2012 - jomushi
Mchujo wa Ubingwa wa Madola (CBC)  Kumkutanisha Mtanzania na Mghana

BODI ya Wakurugenzi ya Baraza la Ngumi la Jumuiya ya Madola (CBC) imepiga kura kumruhusu bondia wa Tanzania Fadhili Majia apambane na bondia Isaac Quaye…

Continue Reading....

Rais Kikwete Afanya Mazungumzo na Viongozi wa Timu ya Sunderland

Posted on: December 20, 2012 - jomushi
Rais Kikwete Afanya Mazungumzo na Viongozi wa Timu ya Sunderland

Continue Reading....

Mtibwa Yaingia Fainali Kombe la UHAI

Posted on: December 20, 2012December 20, 2012 - jomushi
Mtibwa Yaingia Fainali Kombe la UHAI

Mtibwa Sugar imekata tiketi ya kucheza nusu fainali ya michuano ya Kombe la Uhai inayoshirikisha timu za vijana wenye umri chini ya miaka 20 za…

Continue Reading....

Prime Time Promotions Yatoa milioni 105 kwa Yanga

Posted on: December 19, 2012December 19, 2012 - jomushi
Prime Time Promotions Yatoa milioni 105  kwa Yanga

Pichani kulia ni Mkurugenzi wa Prime Time Promotions Ltd,Joseph Kusaga akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi millioni 105 kwa uongozi wa timu ya Yanga…

Continue Reading....

Chipolopolo wa Zambia Kuwasili Desemba 19, Robo Fainali Uhai…!

Posted on: December 18, 2012 - jomushi
Chipolopolo wa Zambia Kuwasili Desemba 19, Robo Fainali Uhai…!

MABINGWA wa Afrika, Zambia (Chipolopolo) wakiwa na msafara wa watu 32 wanatarajia kuwasili nchini Desemba 19 mwaka huu. Timu hiyo itatua Uwanja wa Ndege wa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari