Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 266

Category: Michezo

Wagombea TFF Kuchukua Fomu Kwenye Tovuti, TFF Yaipongeza Azam FC

Posted on: January 14, 2013January 14, 2013 - jomushi
Wagombea TFF Kuchukua Fomu Kwenye Tovuti, TFF Yaipongeza Azam FC

KAMATI ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inawaarifu wadau wote kuwa fomu za maombi ya uongozi wa TFF na Tanzania Premier…

Continue Reading....

Azam FC Kiboko, Yatwaa Mapinduzi Cup Tena

Posted on: January 12, 2013January 13, 2013 - jomushi
Azam FC Kiboko, Yatwaa Mapinduzi Cup Tena

TIMU ya AZAM FC imefanikiwa kutwaa Kombe la Mapinduzi ya Zanzibar baada ya kuifunga timu ya Tusker ya Kenya mabao 2-1. Tusker ndiyo ilikuwa ya…

Continue Reading....

Tanzania Yachapwa 2-1 na Ethiopia

Posted on: January 12, 2013 - jomushi
Tanzania Yachapwa 2-1 na Ethiopia

TANZANIA (Taifa Stars) imepoteza mchezo wa kirafiki dhidi ya Ethiopia uliochezwa Januari 11, 2013 kwenye Uwanja wa Addis Ababa hapa jijini Addis Ababa, Ethiopia. Mechi…

Continue Reading....

Taifa Stars Yawasili Salama Ethiopia, Kukipiga Leo

Posted on: January 11, 2013 - jomushi
Taifa Stars Yawasili Salama Ethiopia, Kukipiga Leo

TAIFA Stars imefika salama nchini Addis Ababa tayari kwa mechi ya kirafiki dhidi ya wenyeji Ethiopia inayotarajia kufanyika leo. Mechi inachezwa Januari 11 Addis Ababa…

Continue Reading....

Mwananchi FC, Micovilla FC Watoka Sare ya 2-2

Posted on: January 6, 2013 - jomushi
Mwananchi FC, Micovilla FC Watoka Sare ya 2-2

 Beki wa Mwananchi FC, M uhidin Sufiani ‘Sufianimafoto’ (kulia) akimtoka mchezaji wa Micovilla, wakati wa mchezo wa kirafiki uliochezwa kwenye Uwanja wa Bora Kijitonyama Dar…

Continue Reading....

Stars Kukwaana na Ethiopia Januari 11

Posted on: January 5, 2013 - jomushi
Stars Kukwaana na Ethiopia Januari 11

TIMU ya Taifa (Taifa Stars) itacheza mechi ya kujipima nguvu dhidi ya Ethiopia. Mechi hiyo itachezwa Januari 11 mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa jijini…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari