Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 257

Category: Michezo

Kamati ya Rufani ya TFF Yatupa Rufaa za Marejeo za Wagombea

Posted on: February 18, 2013 - jomushi
Kamati ya Rufani ya TFF Yatupa Rufaa za Marejeo za Wagombea

KAMATI YA MTIGINJOLA YATUPA MAOMBI YA ‘REVIEW’ KAMATI ya Rufani ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inayoongozwa na Idd Mtiginjola imetupa…

Continue Reading....

Tenga ‘Awatosa’ Walioenguliwa Uchaguzi wa TFF, Awataka Wafuate Taratibu

Posted on: February 17, 2013 - jomushi
Tenga ‘Awatosa’ Walioenguliwa Uchaguzi wa TFF, Awataka Wafuate Taratibu

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Leodegar Tenga amewataka waombaji uongozi ambao hawaridhiki na uamuzi wa Kamati ya Rufani…

Continue Reading....

The Boxing Coach Akabidhiwa Vifaa vya michezo

Posted on: February 16, 2013 - jomushi
The Boxing Coach Akabidhiwa Vifaa vya michezo

Continue Reading....

CAF Yasitisha Ukamishna wa Hafidhi Ali, TFF Yazitakia Timu Mafanikio

Posted on: February 15, 2013 - jomushi
CAF Yasitisha Ukamishna wa Hafidhi Ali, TFF Yazitakia Timu Mafanikio

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limesitisha ukamishna wa Hafidh Ali. Uamuzi huo umefanywa na Kamati ya Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika…

Continue Reading....

TFF Yasitisha Zoezi la Kampeni

Posted on: February 12, 2013 - jomushi
TFF Yasitisha Zoezi la Kampeni

1. KAMATI ya Uchaguzi, kwa mamlaka iliyonayo kupitia Kanuni za Uchaguzi za TFF Ibara ya 3(1), 6(1) (g) na (l), 10(5), 11(6) inayosomeka pamoja na…

Continue Reading....

Leodger Tenga, Mark Fish Waunga Mkono Mapambano ya Malaria

Posted on: February 11, 2013February 11, 2013 - jomushi
Leodger Tenga, Mark Fish Waunga Mkono Mapambano ya Malaria

RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Leodgar Tenga amesema Tanzania itatumia mashindano ya soka kwa wanawake na vijana kama sehemu mojawapo ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari