Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 252

Category: Michezo

TFF Yazinduwa Mpango wa Maendeleo 2013-2016

Posted on: April 4, 2013 - jomushi
TFF Yazinduwa Mpango wa Maendeleo 2013-2016

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limezindua rasmi Mpango wa Maendeleo wa Mpira wa Miguu (Technical Development Plan- TDP) wa 2013-2016 ambao pamoja na…

Continue Reading....

Leonard Thadeo Awataka Wanamichezo Kuacha Kulalama

Posted on: April 4, 2013 - jomushi
Leonard Thadeo Awataka Wanamichezo Kuacha Kulalama

Na Genofeva Matemu – MAELEZO WADAU wa Michezo wameshauriwa kuacha tabia ya kulalamika mara kwa mara pale wanaposhindwa katika mashindano ya michezo mbalimbali badala yake…

Continue Reading....

Waamuzi Kutoka Comoro Kuchezesha Mechi ya Azam

Posted on: April 2, 2013 - jomushi
Waamuzi Kutoka Comoro Kuchezesha Mechi ya Azam

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeteua waamuzi watakaochezesha mechi ya marudiano ya Kombe la Shirikisho kati ya Azam na Barrack Young Controllers II…

Continue Reading....

Waliberia wa Azam FC Kuwasili Leo

Posted on: April 1, 2013 - jomushi
Waliberia wa Azam FC Kuwasili Leo

TIMU ya Barrack Young Controllers II ya Liberia inatarajia kuwasili nchini kesho (Aprili 2 mwaka huu) kwa ajili ya mechi ya marudiano ya Kombe la…

Continue Reading....

TFF Yatuma Rambirambi Coastal Union na Polisi Tabora

Posted on: April 1, 2013 - jomushi
TFF Yatuma Rambirambi Coastal Union na Polisi Tabora

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko kifo cha mchezaji wa zamani wa timu za Coastal Union, TPC na Taifa Stars, Behewa…

Continue Reading....

Ujumbe wa FIFA Kusikiliza Wagombea Uchaguzi wa TFF Kuwasili Aprili

Posted on: March 27, 2013 - jomushi
Ujumbe wa FIFA Kusikiliza Wagombea Uchaguzi wa TFF Kuwasili Aprili

SHIRIKISHO la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) ambalo lilisimamisha mchakato wa uchaguzi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kutokana na baadhi ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari