Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 183

Category: Michezo

Simba, Yanga Nani Mtani Jembe Kucheza Desemba 13

Posted on: December 5, 2014 - jomushi
Post Tags: Nani Mtani Jembe, Simba, yanga
Simba, Yanga Nani Mtani Jembe Kucheza Desemba 13

*TFF Yataja Kiingilio katika mchezo huo MECHI ya Nani Mtani Jembe 2 kati ya Simba na Yanga zinazodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager itachezwa Jumamosi, Disemba…

Continue Reading....

Huyu Ndiye Mchezaji Bora Ligi Kuu Novemba

Posted on: December 2, 2014 - jomushi
Post Tags: Mchezaji Bora Ligi Kuu, Rashid Mandawa
Huyu Ndiye Mchezaji Bora Ligi Kuu Novemba

MSHAMBULIAJI wa timu ya Kagera Sugar ya mkoani Kagera, Rashid Mandawa amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kwa mwezi Novemba mwaka…

Continue Reading....

TFF Yaomba Usajili wa Copa Coca-Cola 2014

Posted on: December 2, 2014 - jomushi
Post Tags: Copa Coca-Cola 2014, TFF
TFF Yaomba Usajili wa Copa Coca-Cola 2014

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeitaka mikoa mitano kuwasilisha usajili wa wachezaji wake kwa ajili ya mashindano ya Taifa ya Copa Coca-Cola 2014…

Continue Reading....

Kikosi cha Taifa Stars Maboresho Chatinga Kambini

Posted on: December 1, 2014 - jomushi
Post Tags: Kambini, Kikosi cha Taifa Stars, Maboresho
Kikosi cha Taifa Stars Maboresho Chatinga Kambini

KIKOSI cha Taifa Stars Maboresho kimeingia kambini Desemba 1, 2014 Bulyanhulu mkoani Shinyanga kujiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Burundi itakayochezwa Desemba 9 mwaka…

Continue Reading....

Mtera Shooting Yaibuka Mabingwa Lukuvi Cup 2014

Posted on: November 18, 2014 - jomushi
Post Tags: Lukuvi Cup 2014, Mtera Shooting
Mtera Shooting Yaibuka Mabingwa Lukuvi Cup 2014

Wachezaji  wa  timu ya Mtera wakiendelea  kuumiliki mpira katikafainali ya Lukuvi Cup kata  ya Migoli Mtera

Continue Reading....

Bodi ya Filamu Tanzania Yakomalia Sheria, Kanuni

Posted on: November 13, 2014 - jomushi
Post Tags: Bodi ya Filamu, Mbwa Mwitu, sheria, tanzania
Bodi ya Filamu Tanzania Yakomalia Sheria, Kanuni

Na Benedict Liwenga, Maelezo-DSM BODI ya Filamu Tanzania imezitaka Kampuni za filamu nchini kufuata Sheria na Kanuni mbalimbali wakati wa kutengeneza filamu ili kuepusha ukiukwaji…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari