Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 180

Category: Michezo

NSSF Yaanza Mchakato wa Kuwasaka Wenye Vipaji Mpira wa Miguu

Posted on: February 7, 2015 - jomushi
Post Tags: NSSF, Real Madrid, Sports Academy
NSSF Yaanza Mchakato wa Kuwasaka Wenye Vipaji Mpira wa Miguu

ITAKUMBUKWA kuwa mnamo tarehe 26/01/2015 Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) lilisaini mkataba maalum na timu ya Real Madrid ya Nchini Hispania ya…

Continue Reading....

Baraka Kizuguto Ofisa Habari Mpya TFF, Kamati Yaadhibu

Posted on: February 6, 2015 - jomushi
Post Tags: Baraka Kizuguto, Ofisa Habari TFF
Baraka Kizuguto Ofisa Habari Mpya TFF, Kamati Yaadhibu

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemteua Baraka Kizuguto kuwa Ofisa Habari kuanzia Februari 1 mwaka huu. Kabla ya uteuzi huo, Kizuguto alikuwa Ofisa…

Continue Reading....

Dk Mukangara Mgeni Rasmi Fainali za Wanawake, Rangers Yakwama

Posted on: January 31, 2015January 31, 2015 - jomushi
Dk Mukangara Mgeni Rasmi Fainali za Wanawake, Rangers Yakwama

WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara atakuwa mgeni rasmi kwenye fainali ya michuano ya Kombe la Taifa Wanawake kati ya Pwani…

Continue Reading....

Kamati TFF Yatupa Rufani ya Timu ya Mwanza Wanawake

Posted on: January 28, 2015 - jomushi
Post Tags: Kamati TFF, Mwanza Wanawake
Kamati TFF Yatupa Rufani ya Timu ya Mwanza Wanawake

KAMATI ya Mpira wa Miguu wa Wanawake ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imetupa rufani ya timu ya Mwanza kupinga uhalali wa wachezaji…

Continue Reading....

Timu Sita za Wanawake Zafuzu Robo Fainali

Posted on: January 23, 2015January 23, 2015 - jomushi
Post Tags: Ligi ya Wanawake, Mwanza, tanzania
Timu Sita za Wanawake Zafuzu Robo Fainali

TIMU za mikoa sita tayari imepata tiketi za kucheza robo fainali ya michuano ya Kombe la Taifa la Wanawake itakayoanza Januari 26 mwaka huu jijini…

Continue Reading....

Michuano ya CAF, Vilabu Sasa Kujilipia Hoteli

Posted on: January 21, 2015 - jomushi
Post Tags: Michuano CAF, Vilabu Kujilipia
Michuano ya CAF, Vilabu Sasa Kujilipia Hoteli

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limefanyia marekebisho kanuni zake za michuano ya ngazi ya klabu kwa upande wa malazi ambapo sasa timu zitachagua…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari