TUZO za Watu 2015 zinatarajiwa kufanyika Ijumaa ya Mai 22 kwenye hoteli ya Hyatt Regency (The Kilimanjaro) jijini Dar es Salaam. Tuzo za mwaka huu…
Continue Reading....Category: Michezo
Dk Ndumbaro Kuendelea Kusota ‘Kifungoni’, Rufaa Yadunda
BAADA ya mahojiano kati ya mrufani Dr Damas Ndumbaro na Wakili wa TFF Nd Emmanuel Muga, pamoja na Wajumbe wa Kamati ya rufaa ya nidhamu…
Continue Reading....Kauli ya Jerry Muro Yamponza, TFF Yampiga Faini Mil. 5
KAMATI ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF iliyoketi jumanne tarehe 5 Mei, 2015 imempiga faini ya sh. 5,000,00 (milioni tano), Afisa…
Continue Reading....TFF Yaiombea Mema Yanga Mpambano na Etoile du Sahel
RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini – TFF, Jamal Malinzi amewatakia kila la kheri Wawakilishi pekee wa Tanzania katika Kombe la Shirikisho Barani…
Continue Reading....Rais wa TFF Aipongeza Yanga kwa Ubingwa Ligi Kuu
RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF, Jamal Malinzi ametuma salamu za pongezi kwa Mwenyekiti wa klabu ya Young Africans, Yusuf Manji kufuatia…
Continue Reading....Bondia Vicent Mbilinyi’SUGU’ Ajifua kumkabili Keis Amal Mei 30
Na Mwandishi Wetu BONDIA Vicent Mbilinyi ‘Sugu’ ameingia kambini kwa ajili ya mpambano wake mwingine utakaofanyika mei 30 katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba ambapo atakabiliana…
Continue Reading....