Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 137

Category: Michezo

Ligi Kuu Kuendelea Leo, Yanga Kuikaribisha Majimaji Taifa

Posted on: January 20, 2016 - Yohana Chance
Ligi Kuu Kuendelea Leo, Yanga Kuikaribisha Majimaji Taifa

Ligi Kuu ya Vodacom mzunguko wa 15 unatarajiwa kuendelea leo Jumatano kwa michezo mitano, na Alhamisi kwa michezo mitatu kwa kila timu kusaka pointi tatu…

Continue Reading....

Rais wa Chama Cha Soka Barani Asia Atembelea Ofisi Za TFF

Posted on: January 20, 2016 - Yohana Chance
Rais wa Chama Cha Soka Barani Asia Atembelea Ofisi Za TFF

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Asia (AFC), na Makamu wa Rais wa FIFA, Sheikh Salman Bin Ebrahim Al Khalifa jana ametembelea wizara…

Continue Reading....

Dili la Simba Kumnasa Hemed Morocco Limebuma

Posted on: January 20, 2016 - Yohana Chance
Dili la Simba Kumnasa Hemed Morocco Limebuma

Klabu ya SimbaSC ilikuwa kwenye mazungumzo ya kumpa kazi ya u-technical director kocha msaidizi wa timu ya taifa ya Tanzania Hemed Suleiman Ally ‘Morocco’, dili…

Continue Reading....

Nigeria Wafanya Kufuru CHAN, Yaisambaratisha Niger

Posted on: January 19, 2016January 19, 2016 - Yohana Chance
Nigeria Wafanya Kufuru CHAN, Yaisambaratisha Niger

Timu ya Taifa ya Nigeria imefanya kufuru kwa kuwasambaratisha majirani za Timu ya Taifa ya Niger kwa kuwafunga Mabao 4-1 katika mashindano ya soka barani…

Continue Reading....

Hemed Morocco Atua Simba SC Kumwongezea Nguvu mayanja

Posted on: January 19, 2016 - Yohana Chance
Hemed Morocco Atua Simba SC Kumwongezea Nguvu mayanja

Hemed Morocco amepewa kazi ya kuinoa Simba Sc kwa miezi sita, kimebaini kuwa katika harakati za kurejesha hadhi ya klabu, uongozi wa Simba umemsainisha kocha…

Continue Reading....

TFF Yatuma Salamu Za Rambirambi Kwa Simba SC

Posted on: January 19, 2016 - Yohana Chance
TFF Yatuma Salamu Za Rambirambi Kwa Simba SC

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limetuma salamu za rambirambi kwa klabu ya Simba SC, kufuatia kifo cha aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Kamati ya Muda…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari