Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 134

Category: Michezo

Michuano ya CHAN Yaendelea Kushika Kasi Nchini Rwanda

Posted on: January 23, 2016 - Yohana Chance
Michuano ya CHAN Yaendelea Kushika Kasi Nchini Rwanda

Mechi za mzunguko wa pili Kundi C katika michuano ya kombe la taifa bingwa Afrika CHAN kwa wachezaji wa ligi za ndani zimemalizika kwa klabu…

Continue Reading....

Klabu ya Manchester United Yakanusha Kumtaka Guardiola

Posted on: January 23, 2016 - Yohana Chance
Klabu ya Manchester United Yakanusha Kumtaka Guardiola

Manchester United wamekanusha habari kwamba walikutana na kuzungumza na meneja wa Bayern Munich Pep Guardiola kuhusu uwezekano wake kuwa meneja wao. Tovuti ya France Football…

Continue Reading....

Mascherano Ajisalimisha Mahakamni ili Asitupwe Jela

Posted on: January 23, 2016January 23, 2016 - Yohana Chance
Mascherano Ajisalimisha Mahakamni ili Asitupwe Jela

Beki wa klabu ya Barcelona na Argentina Javier Mascherano amefika mahakamani kujaribu kuzuia asitupwe jela kwa kosa la ulaghai katika ulipaji ushuru. Anadaiwa kutumia ulaghai…

Continue Reading....

Yanga SC Yamrudisha Niyonzima Kundini, Akiri Alifanya Kosa

Posted on: January 23, 2016 - Yohana Chance
Yanga SC Yamrudisha Niyonzima Kundini, Akiri Alifanya Kosa

Kiungo wa Yanga Haruna Niyonzima ambaye mkataba wake na klabu hiyo ulivunjwa kutokana na makosa ya kinidhamu ya nahodha huyo wa Rwanda, Jana ameanza rasmi…

Continue Reading....

Rais wa TFF Atoa Salamu za Rambirambi Kwa Timu ya Prisons ya Mbeya

Posted on: January 23, 2016 - Yohana Chance
Rais wa TFF Atoa Salamu za Rambirambi Kwa Timu ya Prisons ya Mbeya

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi ametuma salamu za rambi rambi kwa klabu ya Tanzania Prisons inayoshiriki Ligi Kuu ya…

Continue Reading....

Simba SC Kukipiga Jamuhuri Leo FA Cup, Yanga Kutua Mwanza Kesho

Posted on: January 23, 2016January 23, 2016 - Yohana Chance
Simba SC Kukipiga Jamuhuri Leo FA Cup, Yanga Kutua Mwanza Kesho

Mzunguko wa tatu wa michuano wa Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup) unatarajiwa kuendelea wikiendi hii mpaka katikati ya juma lijalo kwa michezo 13…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari