Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 131

Category: Michezo

Bosi wa TP Mazembe Akubali Kumwachia Samatta

Posted on: January 27, 2016 - Yohana Chance
Bosi wa TP Mazembe Akubali Kumwachia Samatta

Moise Katumbi Chapwe, Rais wa klabu ya TP Mazembe ya DRC amekubali mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta ajiunge na KRC Genk ya…

Continue Reading....

Pierre Aubameyanga Amtolea Uvivu Yaya Toure

Posted on: January 27, 2016 - Yohana Chance
Pierre Aubameyanga Amtolea Uvivu Yaya Toure

Nyota wa Afrika Pierre Emerick Aubameyang amesema kuwa alihisi uchungu baada ya Yaya Toure kusema kwamba ‘sio heshima’ kwa yeye kutunukiwa tuzo ya mchezaji bora…

Continue Reading....

Guinea, Cameroon Zatinga Mbele Michuano ya CHAN

Posted on: January 27, 2016 - Yohana Chance
Guinea, Cameroon Zatinga Mbele Michuano ya CHAN

Timu ya Super Eagles ya Nigeria imeondolewa kutoka kwenye mashindano ya kuwania kombe la taifa bingwa la Afrika CHAN Kwa wachezaji wanaoshiriki katika ligi za…

Continue Reading....

TFF Waandaa Kozi ya Ukocha Kwa Wanawake

Posted on: January 27, 2016 - Yohana Chance
TFF Waandaa Kozi ya Ukocha Kwa Wanawake

Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Mwesigwa Selestine jana amefungua kozi ya ngazi ya juu ya ukocha kwa wanawake (High Level…

Continue Reading....

TFF Yatuma Salamu za Rambirambi kwa Kocha Mingange

Posted on: January 27, 2016 - Yohana Chance
TFF Yatuma Salamu za Rambirambi kwa Kocha Mingange

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limetuma salamu za rambirambi kwa Kocha Mkuu wa klabu ya Mbeya City inayoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom, Meja…

Continue Reading....

Van Gaal Asema Walistahili Zomea Zomea Kutoka Kwa Mashabiki Wao

Posted on: January 26, 2016 - Yohana Chance
Van Gaal Asema Walistahili Zomea Zomea Kutoka Kwa Mashabiki Wao

Van Gaal amekiri kuwa walistahili zomea zomea ya mashabiki kufuatia msururu wa matokeo mabya ambayo mwishoni mwa wiki ilikula kichapo cha bao moja kwa nunge…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari