MSHAMBULIAJI wa Simba SC, Ibrahim Hajib ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Desemba wa klabu hiyo, Hajib ameshinda tuzo hiyo ambayo huambatana na kitita cha…
Continue Reading....Category: Michezo
Azam Nusura Ichapwe Zambia na Zesco
Timu ya AZAM FC imetoa sare ya kufungana bao 1-1 na wenyeji Zesco United mchana wa jana leo katika mchezo wa michuano maalum katika Uwanja…
Continue Reading....Chelsea Wakumbana na Rungu lingine Kutoka FA
Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya Uingereza, Chelsea na West Brom wametozwa faini kwa utovu wa nidhamu uwanjani katika mechi iliyozongwa na ubishi mwezi uliopita.…
Continue Reading....Liverpool Yatinga Fainali Kombe La Capital One
Timu ya Liverpool Wakicheza katika uwanja wao wa Anfield imeshinda mchezo wa nusu fainali ya pili ya kombe la Capital na dhidi ya Stoke na…
Continue Reading....Klabu ya Leicester City Kupeleka Tena ofa Kwa CSKA Moscow, ili Kumnasa Ahmed Musa
Viongozi wa ligi ya Uingereza Leicester bado wanataka kumsajili mshambuliaji wa Nigeria Ahmed Musa licha ya ombi lao la hapo awali kukataliwa na kilabu ya…
Continue Reading....Timu ya Azam Yatimukia Zambia, Michizo yake Yapigwa Kalenda
MECHI mbili za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara za Azam FC zimefutwa na zitapangiwa tarehe nyingine ya kufanyika. Mechi hizo ni dhidi ya Prisons…
Continue Reading....