Mshambuliaji wa kilabu ya Barcelona Lionel Messi alikosa mazoezi siku ya jana Jumatatu ili kupimwa figo yake. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Argentina alikosa kucheza…
Continue Reading....Category: Michezo
Zouma Hataonekana Dimbani tena Hadi Msimu Ujao
Beki wa klabu ya Chelsea Kurt Zouma atakua nje ya uwanja kwa miezi sita baada ya kuumia goti kwenye mchezo dhidi ya Manchester United. Zouma,…
Continue Reading....Kamusoko Ampiku Tambwe, Baada ya Kutangazwa Kuwa Mchezaji Bora wa Mwezi
Mchezaji Thaban Kamusoko amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Vodacom kwa mwezi Disemba, 2015 baada ya kumshinda mchezaji mwenzake wa Yanga (Amissi Tambwe).…
Continue Reading....Yanga Kutimuka Kesho Kwenda Kuivaa Cercle De Joachim
Kikosi cha Yanga SC kitaanza safari ya kuelekea Mauritius kesho (Jumatano) alfajiri kwenda kukipiga mchezo wa awali wa klabu bingwa Afrika dhidi ya Cercle De…
Continue Reading....DR Congo Wapokelewa Zaidi ya Mfalme, Baada ya Kutwaa Ndoo
Wachezaji wa timu ya taifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamelakiwa kwa shangwe na nderemo katika mji mkuu wa nchi hiyo Kinshasa. Hii ni…
Continue Reading....DR Congo Watwaa Ubingwa wa CHAN 2016 Nchini Rwanda
JAMHURI ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ndiyo mabingwa wa Michuano ya Ubingwa wa Mataifa (CHAN), inayohusisha wachezaji wanaocheza ligi za nchini mwao pekee. Hiyo inafuatia…
Continue Reading....