Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo
  • Page 106

Category: Michezo

TFF Yatangaza Viingilio vya Mchezo wa Twiga Stars dhidi ya Zimbabwe

Posted on: March 1, 2016March 1, 2016 - Yohana Chance
TFF Yatangaza Viingilio vya Mchezo wa Twiga Stars dhidi ya Zimbabwe

Kiingilio cha chini cha mchezo wa kuwania kufuzu kwa Fainali za Mataifa Afrika kwa Wanawake kati ya timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake ‘Taifa…

Continue Reading....

Azamu Yaisambaratisha Panone Fc na Kutinga Robo Fainali FA CUP

Posted on: March 1, 2016 - Yohana Chance
Azamu Yaisambaratisha Panone Fc na Kutinga Robo Fainali FA CUP

Na; Binzubeiry.co.tz AZAM FC imekamilisha idadi ya timu nane za kucheza Robo Fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama…

Continue Reading....

Wenger Awatoa Mchecheto Wachezaji wake Baada ya Kichapo Cha Manchester United

Posted on: March 1, 2016 - Yohana Chance
Wenger Awatoa Mchecheto Wachezaji wake Baada ya Kichapo Cha Manchester United

Meneja wa Arsenal amesema kuwa wachezaji wake hawana budi kusahau kichapo cha Manchester United na kuganga ya Swansea. Mkufunzi wa klabu hicho Arsene Wenger anasema…

Continue Reading....

Rais wa Bayern Uli Hoeness Aachiliwa Huru Kutoka Jela

Posted on: March 1, 2016 - Yohana Chance
Rais wa Bayern Uli Hoeness Aachiliwa Huru Kutoka Jela

Rais wa zamani wa Bayern Munich Uli Hoeness hatimaye yuko huru. Ameachiliwa huru kutoka gerezani baada ya kutumikia kifungo cha miezi 21 kwa makosa ya…

Continue Reading....

Manchester City Mabingwa Wapya Kombe la Capital One

Posted on: February 29, 2016February 29, 2016 - Yohana Chance
Manchester City Mabingwa Wapya Kombe la Capital One

Klabu ya Manchester City wameshinda Kombe la Capital One baada ya kuwashinda Liverpool kwenye fainali kupitia mikwaju ya penalti. Willy Caballero ndiye aliyekuwa shujaa wa…

Continue Reading....

Dogo Wa Mashetani Atupia Mbili na Kuwatuliza Arsenal Ndani ya Old Trafford

Posted on: February 28, 2016 - Yohana Chance
Dogo Wa Mashetani Atupia Mbili na Kuwatuliza Arsenal Ndani ya Old Trafford

Timu ya Arsenal imepoteza hesabu za kunyakua ubingwa wa Ligi Kuu ya uingereza msimu huu baada ya kukubali kichapo cha Mabao 3-2 dhidi ya Manchester…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari