Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 97

Category: Habari za Kimataifa

Rais Obama aahidi kuisadia Burma zaidi

Posted on: November 20, 2012November 20, 2012 - jomushi
Rais Obama aahidi kuisadia Burma zaidi

Rais wa Marekani Barack Obama ameahidi kuendelea kuunga mkono kwa dhati juhudi za kuleta mabadiliko nchini Burma. Katika ziara yake fupi ya kihistoria, Obama alikutana…

Continue Reading....

Majeshi ya Israel Yaendelea Kushambulia Gaza, Makao Makuu Hamas Yapigwa

Posted on: November 18, 2012 - jomushi
Majeshi ya Israel Yaendelea Kushambulia Gaza, Makao Makuu Hamas Yapigwa

ISRAEL imeshambulia maeneo ya wapiganaji katika ukanda wa Gaza kwa siku ya tano (Novemba 18, 2012), wakishambulia kwa ndege na jeshi la majini wakati jeshi…

Continue Reading....

Kamanda wa Boko Haram Auawa Nigeria

Posted on: November 16, 2012 - jomushi
Kamanda wa Boko Haram Auawa Nigeria

WANAJESHI wa Nigeria wanaendeleza operesheni kali ya kuwasaka wapiganaji wa Boko Haram katika eneo la Maiduguri Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo. Wanajeshi hao wanatumia magari…

Continue Reading....

Waziri Mkuu wa Misri Aitembelea Gaza, Wapalestin Waomba UN Iingilie

Posted on: November 16, 2012 - jomushi
Waziri Mkuu wa Misri Aitembelea Gaza, Wapalestin Waomba UN Iingilie

WAZIRI Mkuu wa Misri Hisham Kandil ameutembelea Ukanda wa Gaza na kuahidi kuwasaidia Wapalestina kurejesha utulivu kwa kusitisha mashambulizi ya Israel ambayo yameendelea licha ya…

Continue Reading....

Mapigano Mapya Yazuka Congo

Posted on: November 16, 2012 - jomushi
Mapigano Mapya Yazuka Congo

MAPIGANO mapya yamezuka Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo kati ya wanajeshi wanaoungwa mkono na Umoja wa Mataifa na waasi wa M23,na kuwalazimisha watu…

Continue Reading....

Israel Yasema Itajilinda Kivyovyote Dhidi ya Mashambulizi ya Gaza

Posted on: November 15, 2012 - jomushi
Israel Yasema Itajilinda Kivyovyote Dhidi ya Mashambulizi ya Gaza

  WAKATI mzozo kati ya Hamas na Israel ukizidi kufukuta ukanda wa Gaza, Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu amesema nchi yake itachukua kila hatua…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari