Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 96

Category: Habari za Kimataifa

Mkuu wa Majeshi DRC Afukuzwa Kazi

Posted on: November 24, 2012 - jomushi
Mkuu wa Majeshi DRC Afukuzwa Kazi

MKUU WA MAJESHI nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo, amesimamishwa kazi huku uchunguzi ukiendelea kufuatia madai kuwa aliwauzia silaha makundi ya waasi yanaopambana na serikali…

Continue Reading....

Jaribio la mapinduzi yatibuliwa Sudan

Posted on: November 23, 2012November 23, 2012 - jomushi
Jaribio la mapinduzi yatibuliwa Sudan

Watu kadhaa wamekamatwa na serikali ya Sudan, wakiwemo mkurugenzi mkuu wa zamani wa idara ya ujasusi, Salah Gosh na maafisa kadhaa wa jeshi la nchi…

Continue Reading....

Mke wa Gbagbo kufikishwa the Haque

Posted on: November 23, 2012November 23, 2012 - jomushi
Mke wa Gbagbo kufikishwa the Haque

MAHAKAMA ya kimataifa ya Jinai ICC, imetoa kibali cha kukamatwa kwa mke wa aliyekuwa rais wa Ivory Coast Laurent Gbagbo, Bi Simone, Gbagbo. Bi Gbagbo…

Continue Reading....

JK Atuma Rambirambi kwa Rajani Group of Companies

Posted on: November 23, 2012November 23, 2012 - jomushi
JK Atuma Rambirambi kwa Rajani Group of Companies

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete ameitumia salamu za rambirambi familia ya Mwenyekiti wa Kundi la Makampuni la Rajani Group of…

Continue Reading....

Kanisa la Anglikana Lateuwa Askofu wa Kwanza wa Kike

Posted on: November 21, 2012November 21, 2012 - jomushi
Kanisa la Anglikana Lateuwa Askofu wa Kwanza wa Kike

ELLINAH Wamukoya ameteuliwa kuwa Askofu wa Kwanza wa Kike wa Kanisa la Kianglikana barani Afrika. Akiongea muda mfupi baada ya kuteuliwa, Bi. Ellinah Wamukoya amesema…

Continue Reading....

Waasi wa M23 Wauteka Mji wa Goma

Posted on: November 21, 2012 - jomushi
Waasi wa M23 Wauteka Mji wa Goma

WAPIGANAJI wa waasi wa M23, hatimaye wamefanikiwa kuingia mji mkuu wa eneo la Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo, eneo lenye utajiri mkubwa wa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari