Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 94

Category: Habari za Kimataifa

Wapinzani Wapinga Kujadiliana na Mursi, Ikulu Yavamiwa

Posted on: December 8, 2012 - jomushi
Wapinzani Wapinga Kujadiliana na Mursi, Ikulu Yavamiwa

RAIS Mohamed Mursi leo Desemba 08, 2012 alitarajiwa kufanya mazungumzo juu ya kumaliza mzozo mbaya nchini Misri tangu achukue madaraka. Hata hivyo viongozi wakuu wa…

Continue Reading....

Jeshi Lawatimua Waandamanaji Misri

Posted on: December 6, 2012 - jomushi
Jeshi Lawatimua Waandamanaji Misri

WANAJESHI nchini Misri wameanza kuwaondoa watu kutoka katika eneo la Ikulu ya rais mjini Cairo ambako kumekuwa na makabiliano makali kati ya wafuasi na wapinzani…

Continue Reading....

Rushwa Yazorotesha Uchumi Duniani

Posted on: December 6, 2012 - jomushi
Rushwa Yazorotesha Uchumi Duniani

RIPOTI ya mwaka huu ya Shirika la Kimataifa linalopambana na ufisadi duniani (Transparency Intenational) inaeleza kuwa rushwa imechochea kwa kiasi fulani mgogoro wa uchumi duniani,…

Continue Reading....

Urais Kenya: Raila Aungana na Kalonzo

Posted on: December 5, 2012 - jomushi
Urais Kenya: Raila Aungana na Kalonzo

WAZIRI Mkuu wa Kenya, Raila Odinga kupitia chama chake cha ODM wametia saini makubaliano ya kuunda muungano wa kisiasa na Makamo wa Rais Kalonzo Musyoka…

Continue Reading....

Rwanda Iliwasaidia Wafuasi wa M23 Kuuteka Mji wa Goma- UN

Posted on: December 4, 2012 - jomushi
Rwanda Iliwasaidia Wafuasi wa M23 Kuuteka Mji wa Goma- UN

RIPOTI ya Umoja wa Mataifa (UN) iliyotolewa inasema wanajeshi kutoka Rwanda walihusika moja kwa moja na utekaji wa Mji wa Goma katika Jamhuri ya Kidemokrasia…

Continue Reading....

Uingereza Yasitisha Msaada kwa Rwanda

Posted on: December 1, 2012December 1, 2012 - jomushi
Uingereza Yasitisha Msaada kwa Rwanda

Uingereza imesitisha kwa muda msaada iliyokuwa iipe Rwanda kwa sababu ya wasiwasi kuhusu kuhusika kwa nchi hiyo katika mzozo uliopo Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo.…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari