Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 93

Category: Habari za Kimataifa

Nelson Mandela Aendelea Kupata Nafuu

Posted on: December 13, 2012December 13, 2012 - jomushi
Nelson Mandela Aendelea Kupata Nafuu

RAIS wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, anayetibiwa kwa ugonjwa wa mapafu, anaendelea vyema na matibabu yake na kwamba hali yake imeimarika katika…

Continue Reading....

Kenya Waadhimisha Miaka 49 ya Uhuru

Posted on: December 12, 2012December 13, 2012 - jomushi
Kenya Waadhimisha Miaka 49 ya Uhuru

SIKU ya Jamhuri ni maadhimisho ya siku Kenya ilipotangazwa kuwa huru baada ya kutawaliwa na wakoloni waingereza waliokuwa wakiwakandamiza waafrika weusi katika taifa hilo la…

Continue Reading....

Waziri Mkuu wa Mali Ajiuzulu

Posted on: December 11, 2012 - jomushi
Waziri Mkuu wa Mali Ajiuzulu

WAZIRI Mkuu wa Mali, Cheick Modibo Diarra amejiuzulu wadhifa wake saa chache baada ya kukamatwa na wanajeshi waliomkuta nyumbani kwake. Kujiuzulu huko kunaupeleka pabaya zaidi…

Continue Reading....

Hali ya Taharuki Yatanda Misri

Posted on: December 11, 2012 - jomushi
Hali ya Taharuki Yatanda Misri

HALI ya usalama imeimarishwa nchini kote Misri huku Cairo ikijiandaa kwa maandamano mengine yanayowahusisha wafuasi na wapinzani wa katiba mpya iliyopitishwa na serikali ya Misri.…

Continue Reading....

Jeshi la Sudan Kusini Lauwa Watu 10, Waasi M23 Wazungumza na Serikali

Posted on: December 10, 2012December 10, 2012 - jomushi
Jeshi la Sudan Kusini Lauwa Watu 10, Waasi M23 Wazungumza na Serikali

UMOJA wa Mataifa unasema kuwa Jeshi la Sudan Kusini limewapiga risasi na kuwauwa watu 10, ambao walikuwa wakiandamana kupinga kuhamishwa kwa Makao Makuu ya Serikali…

Continue Reading....

Rais Mursi Aitisha Mjadala wa Kitaifa

Posted on: December 9, 2012 - jomushi
Rais Mursi Aitisha Mjadala wa Kitaifa

RAIS Mohammad Mursi wa Misri amewaalika wapinzani nchini humo kufanya mazunguzo kwa lengo la kumaliza mgogoro unaoendelea nchini humo. Lakini maandamano dhidi yake na chama…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari