Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 92

Category: Habari za Kimataifa

Park Ashinda Uchaguzi Korea Kusini

Posted on: December 20, 2012December 21, 2012 - jomushi
Park Ashinda Uchaguzi Korea Kusini

RAIS mteule wa Korea Kusini , Park Geun-hye, amesema ushindi wake katika uchaguzi mkuu utasaidia uchumi wa taifa hilo kuimarika. Bi. Park, ambaye ni mwanawe,…

Continue Reading....

Kagame Aonywa Dhidi ya Kuwasaidia Waasi

Posted on: December 20, 2012 - jomushi
Kagame Aonywa Dhidi ya Kuwasaidia Waasi

RAIS Barrack Obama wa Marekani ametoa wito kwa rais wa Rwanda Paul Kagame, kusitisha msaada anaotoa kwa makundi ya waasi nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya…

Continue Reading....

Zuma Achaguliwa Tena Kuongoza ANC

Posted on: December 19, 2012December 20, 2012 - jomushi
Zuma Achaguliwa Tena Kuongoza ANC

RAIS Jacob Zuma amechaguliwa kwa mara nyingine kuwa kiongozi wa chama tawala nchini humo cha African National Congress ANC. Zuma alipata idadi kubwa ya kura…

Continue Reading....

Kiongozi wa Waasi Aachiliwa Huru na ICC

Posted on: December 19, 2012December 19, 2012 - jomushi
Kiongozi wa Waasi Aachiliwa Huru na ICC

Kiongozi wa zamani wa waasi congo Mathieu Ngudjolo Chui Mahakama ya Kimataifa ya jinai ya ICC, iliyoko The Hague, imemuachilia huru aliyekuwa kiongozi wa waasi…

Continue Reading....

Msiwaue Wapenzi wa Jinsia Moja-Museveni.

Posted on: December 18, 2012December 18, 2012 - jomushi
Msiwaue Wapenzi wa Jinsia Moja-Museveni.

Rais wa Uganda Yoweri Museveni, amesema wapenzi wa jinsia moja hawapaswi kuuawa au kudhalilishwa, huku wabunge wa nchi hiyo wakiendelea na mjadala wa kutathmini kuhusu…

Continue Reading....

Mkutano Mkuu wa ANC Waanza Afrika Kusini

Posted on: December 16, 2012 - jomushi
Mkutano Mkuu wa ANC Waanza Afrika Kusini

CHAMA tawala cha Afrika Kusini (ANC) kimeanza mkutano wake wa taifa leo mjini Mangaung ambako chama hicho kiliundwa miaka 100 iliyopita. Katika kikao hicho chama…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari