Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 88

Category: Habari za Kimataifa

Vituo Vyafunga kwa Kura za Mchujo Kenya

Posted on: January 18, 2013January 18, 2013 - jomushi
Vituo Vyafunga kwa Kura za Mchujo Kenya

VITUO vya kupiga kura vimefunga nchini Kenya katika mchakato mzima wa upigaji kura ya mchujo kote nchini. Katika baadhi ya maeneo ya Nairobi na viunga…

Continue Reading....

Wanajeshi Wajiandaa kwa Vita vya Ardhini Mali

Posted on: January 17, 2013January 17, 2013 - jomushi
Wanajeshi Wajiandaa kwa Vita vya Ardhini Mali

Wanajeshi wa Ufaransa wanajiandaa kwa makabiliano yao ya kwanza muhumi ya ardhini wa wapiganaji wa waasi nchini Mali, baada ya kuanza safari hiyo kutoka mji…

Continue Reading....

Al Shabaab kumuua Jasusi wa Ufaransa

Posted on: January 17, 2013January 17, 2013 - jomushi
Al Shabaab kumuua Jasusi wa Ufaransa

WANAMGAMBO wa Al-Shabab nchini Somalia wanasema kuwa watamuua jasusi wa Ufaransa Denis Allex, ambaye Ufaransa ilisema kuwa alikuwa tayari ameuawa wakati jaribio la kumuokoa lilipotibuka.…

Continue Reading....

Wapiganaji Wauteka Mji Mwingine Mali

Posted on: January 15, 2013January 15, 2013 - jomushi
Wapiganaji Wauteka Mji Mwingine Mali

Wapiganaji wa kiisilamu walioteka Kaskazini mwa Mali Wapiganaji wa kiisilamu wameuteka mji uliokuwa unadhibitiwa na wanajeshi wa serikali licha ya harakati za kijeshi dhidi ya…

Continue Reading....

Mubarak Ashinda Kesi ya Rufaa

Posted on: January 14, 2013January 15, 2013 - jomushi
Mubarak Ashinda Kesi ya Rufaa

RAIS wa zamani wa Misri, Hosni Mubarak, ameruhusiwa kufanyiwa kesi nyengine kwa makosa ya kutozuwia mauaji ya waandamanaji mamia kadha wakati wa ghasia zilizomuondoa madarakani.…

Continue Reading....

Mapigano ya Kikabila Yaendelea Kenya

Posted on: January 11, 2013January 11, 2013 - jomushi
Mapigano ya Kikabila Yaendelea Kenya

WATU 11 wameuawa na wengine 15 kujeruhiswa mapema Alhamisi kwenye shambulio la kulipiza kisasi baina ya jamii mbili zinazohasimiana katika eneo la Tana River Delta.…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari