Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 85

Category: Habari za Kimataifa

Libya Washerehekea Mapinduzi ya Moammar Gaddafi

Posted on: February 16, 2013 - jomushi
Libya Washerehekea Mapinduzi ya Moammar Gaddafi

MAELFU ya watu walikusanyika katika miji miwili mikubwa nchini Libya, yaTripoli na Benghazi Februari 15, 2013 kusherehekea miaka miwili tangu kuanza kwa mapinduzi yaliyosababisha kuangushwa…

Continue Reading....

Mahakama Kuu Kenya Yatua ‘Mzigo’ Kesi ya Akina Ruto na Kenyatta

Posted on: February 15, 2013February 15, 2013 - jomushi
Mahakama Kuu Kenya Yatua ‘Mzigo’ Kesi ya Akina Ruto na Kenyatta

MAHAKAMA Kuu nchini Kenya imeeleza kwamba haiwezi kuamua iwapo Uhuru Kenyatta na William Ruto wanapaswa kugombea nyadhifa katika uchaguzi mkuu ujao. Wawili hao wanakabiliwa na…

Continue Reading....

Papa Benedict XVI Atangaza Kujiuzulu

Posted on: February 12, 2013 - jomushi
Papa Benedict XVI Atangaza Kujiuzulu

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Benedict XVI ametangaza kuachia madaraka ya kuongoza kanisa ifikapo mwishoni mwa mwezi huu, uamuzi ambao ni wa kwanza tangu…

Continue Reading....

Wagombea Urais Kenya Kupambana Katika Mdahalo

Posted on: February 11, 2013 - jomushi
Wagombea Urais Kenya Kupambana Katika Mdahalo

WAGOMBEA urais nchini Kenya wanatarajia kuumana katika mdahalo utakaowakutanisha viongozi hao na kuoneshwa moja kwa moja kupitia runinga. Mdahalo huo ambao ni wa kwanza kabisa…

Continue Reading....

Watu 100 Wauwawa Sudan Kusini Baada ya Kushambuliwa

Posted on: February 11, 2013 - jomushi
Watu 100 Wauwawa Sudan Kusini Baada ya Kushambuliwa

WAKUU wa Sudan Kusini wanasema watu zaidi ya 100 wameuwawa kwenye wizi wa mifugo. Taarifa zinasema watu wa kabila la Lou Nuer walishambuliwa Ijumaa katika…

Continue Reading....

Wauwawa Wakitoa Chanjo ya Polio Nigeria

Posted on: February 8, 2013 - jomushi
Wauwawa Wakitoa Chanjo ya Polio Nigeria

RIPOTI kutoka nchini Nigeria zinasema kuwa watu 12 wakiwemo wafanyakazi waliokuwa wanatoa chanjo ya Polio kwa watoto, wameuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana. Maofisa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari