Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 84

Category: Habari za Kimataifa

Joachim Chissano Aishauri Tume ya Uchaguzi Kenya

Posted on: February 27, 2013 - admin
Joachim Chissano Aishauri Tume ya Uchaguzi Kenya

KIONGOZI wa Ujumbe wa waangalizi wa Umoja wa Afrika, Joachim Chissano ameishauri tume huru ya uchaguzi nchini Kenya IEBC kushirikiana na vyombo vya usalama kuhakikisha…

Continue Reading....

Mkataba wa Kuleta Amani Kongo Watiwa Saini Ethiopia

Posted on: February 24, 2013 - jomushi
Mkataba wa Kuleta Amani Kongo Watiwa Saini Ethiopia

MKATABA wa kumaliza vita mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo leo umetiwa saini mjini Addis Ababa-Ethiopia na viongozi wa nchi za Maziwa Makuu. Viongozi…

Continue Reading....

Watu 7 Wauawa Wakitoka Msikitini Kenya

Posted on: February 22, 2013 - jomushi
Watu 7 Wauawa Wakitoka Msikitini Kenya

WATU saba wameuawa kwa kupigwa risasi katika shambulizi karibu na msikiti Kaskazini Mashariki mwa Kenya, karibu na mpaka na Somalia. Wanakijiji waliambia BBC kuwa watu…

Continue Reading....

Pistorius Asema Alimuua Mpenzi Wake Pasipo Kujua

Posted on: February 20, 2013 - jomushi
Pistorius Asema Alimuua Mpenzi Wake Pasipo Kujua

MWANARIADHA mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius alimuua mpenzi wake kimakosa baada ya kudhania kuwa alikuwa mwizi aliyekuwa amevamia nyumba yake. Aliiambia mahakama kuwa alimpenda…

Continue Reading....

EAC Yatuma Waangalizi wa Uchaguzi Kenya

Posted on: February 19, 2013 - jomushi
EAC Yatuma Waangalizi wa Uchaguzi Kenya

JUMUIYA ya Afrika Mashariki imetuma kundi la waangalizi 40 watakaochunguza uchaguzi mkuu wa Kenya. Tayari wachunguzi 18 kutoka Muungano wa Ulaya waliwasili nchini humo mwishoni…

Continue Reading....

Al-Shabaab Wamuua Mwanajeshi wa Kenya

Posted on: February 19, 2013 - jomushi
Al-Shabaab Wamuua Mwanajeshi wa Kenya

KUNDI la Al-shabaab limesema kuwa limemuua mwanajeshi wa Kenya usiku wa Alhamisi, baada ya kumalizika kwa muda walitoa kwa serikali ya Kenya kuwaachia Waislamu wanaoshikiliwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari