Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 82

Category: Habari za Kimataifa

Kanisa Katoliki Lapata Papa Mpya, Ni Muagentina

Posted on: March 13, 2013March 14, 2013 - jomushi
Kanisa Katoliki Lapata Papa Mpya, Ni Muagentina

RAIA wa Agentina, Cadinali Jorge Mario Bergoglio (76) amechaguliwa kuwa Kiongozi Mkuu wa Kanisa katoliki Duniani. Papa Mario Bergoglio ametangazwa usiku huu baada ya kumalizika…

Continue Reading....

Hivi Ndivyo Uhuru Kenyatta Alivyombwaga Odinga

Posted on: March 9, 2013 - jomushi
Hivi Ndivyo Uhuru Kenyatta Alivyombwaga Odinga

MWANA wa kiume wa muasisi wa taifa la Kenya, Uhuru Kenyatta, ameshinda uchaguzi wa rais kwa asilimia 50.07 ya kura kwa mujibu wa matokeo yaliyotangazwa…

Continue Reading....

Rais Kikwete Amtumia Salamu za Pongezi Rais Mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta

Posted on: March 9, 2013March 9, 2013 - jomushi
Rais Kikwete Amtumia Salamu za Pongezi Rais Mteule wa Kenya,  Uhuru Kenyatta

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jayaka Mrisho Kikwete amemtumia salamu za pongezi Rais Mteule wa Jamhuri ya Kenya, Uhuru Kenyatta. Katika salamu hizo…

Continue Reading....

Uchaguzi Kenya; Kenyatta Aongoza kwa 54% Odinga 41%

Posted on: March 6, 2013March 7, 2013 - jomushi
Uchaguzi Kenya; Kenyatta Aongoza kwa 54% Odinga 41%

Na dev.kisakuzi.com Kenya; MATOKEO ya awali ya uchaguzi Mkuu nchini Kenya yameanza kutangazwa baada ya siku ndefu huku kura za awali zikionesha mchuano mkali upo…

Continue Reading....

Rais wa Venezuela Hugo Chavez Afariki

Posted on: March 6, 2013March 7, 2013 - jomushi
Rais wa Venezuela Hugo Chavez Afariki

MAKAMU wa Rais wa Venezuela Nicholas Marduro ametangaza kifo cha Rais Hugo Chavez (58) kufuatia kuugua kwa muda mrefu maradhi ya Saratani. Rais Chavez alikuwa…

Continue Reading....

Rais Hugo Chavez Aaga Dunia!

Posted on: March 5, 2013March 7, 2013 - Rungwe Jr.

Habari zilizotufikia mitamboni muda si mrefu, ni kwamba yule Rais machachari wa Venezuela kule America ya kusini amefariki dunia kutokana na ugonjwa wa saratani. Rais…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari