Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 79

Category: Habari za Kimataifa

Afrika Kusini Kupeleka Majeshi DRC

Posted on: April 7, 2013 - jomushi
Afrika Kusini Kupeleka Majeshi DRC

NCHI ya Afrika Kusini imetangaza kutuma wanajeshi Jamhuri ya Demokrasi ya Congo kuungana katika kikosi maalumu cha Umoja wa Mataifa kilichoingilia kati nchini humo kuwanyan’ganya…

Continue Reading....

Waziri Marekani Atoa Sehemu ya Mshahara Wake kwa Wafanyakazi Serikalini

Posted on: April 5, 2013 - jomushi
Waziri Marekani Atoa Sehemu ya Mshahara Wake kwa Wafanyakazi Serikalini

WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Marekani, John Kerry amesema atakuwa akitoa mchango wa asilimia tano ya mshahara wake kila mwaka, ili kuwanufaisha wafanyikazi wa…

Continue Reading....

Marekati Kutoa Dola Mil. 5 Atakaye Fanikisha Kukamatwa Kony

Posted on: April 5, 2013 - jomushi
Marekati Kutoa Dola Mil. 5 Atakaye Fanikisha Kukamatwa Kony

MAREKANI imetangaza kitita cha Dola milioni 5 kwa atakayefanikisha kukamatwa kwa kiongozi wa kundi la waasi la Lord’s Resistance Army LRA, la nchini Uganda, ambaye…

Continue Reading....

Korea Kaskazini Yaendeleza Vitisho

Posted on: April 4, 2013 - jomushi
Korea Kaskazini Yaendeleza Vitisho

HALI ya wasiwasi imezidi katika rasi ya Korea baada ya Korea Kaskazini kufunga maeneo muhimu yanayounganisha eneo la viwanda na Korea Kusini, huku Urusi na…

Continue Reading....

Vikosi vya Umoja wa Ulaya Vyaanza Kuwajibika Nchini Mali

Posted on: April 2, 2013 - jomushi
Vikosi vya Umoja wa Ulaya Vyaanza Kuwajibika Nchini Mali

WANAJESHI wa Umoja wa Ulaya wanaanza kuwapatia mafunzo wanajeshi wa Mali katika wakati ambapo opereshini za kijeshi zinazoongozwa na Ufaransa zinaendelea katika mji wa kaskazini…

Continue Reading....

Uchaguzi Kenya Ulikuwa Huru na wa Haki -Mahakama

Posted on: March 30, 2013March 30, 2013 - jomushi
Uchaguzi Kenya Ulikuwa Huru na wa Haki -Mahakama

MAHAKAMA ya juu zaidi nchini Kenya, imeamua kuwa rais mteule Uhuru Kenyatta atasalia kuwa rais mpya wa Kenya baada ya kusema kuwa uchaguzi ulifanywa kwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari