Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 78

Category: Habari za Kimataifa

Milipuko Yaitikisa Boston Marathon, Yajeruhi Kadhaa

Posted on: April 15, 2013 - jomushi
Milipuko Yaitikisa Boston Marathon, Yajeruhi Kadhaa

MILIPUKO miwili katika eneo la kukamilisha mbio ndefu za Boston imesababisha majeruhi wasiojulikana idadi yao. Picha na video kutoka Boston zinaonyesha watu wakiwa wamechanganyikiwa wasijue…

Continue Reading....

Vicheko vya Matumaini?

Posted on: April 14, 2013April 14, 2013 - Rungwe Jr.
Vicheko vya Matumaini?

Ni matumaini yetu kwamba waheshimiwa kwenye picha hapo hawacheki kwa unafiki, bali ni kwa mapenzi ya nchi yao ya Kenya. Wahenga walisema “Asiyekubali kushindwa si…

Continue Reading....

Bashir Aamuru Mipaka ya Sudan Kufunguliwa

Posted on: April 13, 2013 - jomushi
Bashir Aamuru Mipaka ya Sudan Kufunguliwa

RAIS Omar al-Bashir wa Sudan, katika ziara yake ya kwanza mjini Juba tangu nchi ya Sudan ya Kusini kuwa huru mwaka 2011, ametangaza mipaka kati…

Continue Reading....

Uganda Kuwa Mwenyeweji Mafunzo ya Kijeshi ya EAC

Posted on: April 11, 2013 - jomushi
Uganda Kuwa Mwenyeweji Mafunzo ya Kijeshi ya EAC

Na James Gashumba, EANA UGANDA itakuwa mwenyeji wa mafunzo ya tatu ya kijeshi ya kanda ya Afrika Mashariki mwezi ujao yatakayojumuisha askari 1250 ikiwa ni…

Continue Reading....

Rais Kagame Ataka Watuhumiwa wa Mauaji ya Kimbari Washitakiwe

Posted on: April 9, 2013 - jomushi
Rais Kagame Ataka Watuhumiwa wa Mauaji ya Kimbari Washitakiwe

Na James Gashumba, EANA RAIS wa Rwanda, Paul Kagame ametoa wito kwa nchi ambazo bado zinawahifadhi watuhumiwa wa mauaji ya kimbari kuwarejesha nchini Rwanda au…

Continue Reading....

Uhuru Kenyata Aapishwa Rasmi Kuiongoza Kenya

Posted on: April 9, 2013 - jomushi
Uhuru Kenyata Aapishwa Rasmi Kuiongoza Kenya

ALIYEKUWA Rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta leo ameapishwa rasmi kuwa Rais wa Kenya na kukabidhiwa madaraka na rais aliyemaliza muda wake, Mwai Kibaki. Kenyata…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari