Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 74

Category: Habari za Kimataifa

Watu Wanne Wafa, 13 Wajeruhiwa Katika Msongamano Kanisani, Achebe Kuzikwa

Posted on: May 20, 2013May 20, 2013 - jomushi
Watu Wanne Wafa, 13 Wajeruhiwa Katika Msongamano Kanisani, Achebe Kuzikwa

WATU wane wamekufa na 13 kujeruhiwa katika mkanyagano ndani ya Kanisa la Kievangelisti nchini Ghana. Taarifa zinazohusianaafrika magharibiAjali hiyo ilitokea pale waumini walipoania kufikia maji…

Continue Reading....

Wapiganaji 30 wa Boko Haram Wauwawa Nigeria

Posted on: May 17, 2013 - jomushi
Wapiganaji 30 wa Boko Haram Wauwawa Nigeria

TAKRIBAN wapiganaji 30, wa waasi nchini Nigeria, wameuawa kwenye mashambulio ya anga yaliyofanywa na jeshi la serikali, Kaskazini Mashariki mwa nchini hiyo. Msemaji wa jeshi…

Continue Reading....

Mapambano Dhidi ya Boko Haram Mipakani Nchini Nigeria

Posted on: May 17, 2013 - jomushi
Mapambano Dhidi ya Boko Haram Mipakani Nchini Nigeria

SERIKALI ya Nigeria imetuma kikosi kikubwa cha wanajeshi pamoja na silaha kukabiliana na wapiganaji wa kikundi cha Boko Haram katika majimbo matatu ya Kaskazini Mashariki…

Continue Reading....

Hali ya Hatari Yatangazwa Nchini Nigeria

Posted on: May 16, 2013 - jomushi
Hali ya Hatari Yatangazwa Nchini Nigeria

MSEMAJI wa Rais wa Nigeria, Davip Okupi amesema rais Good Luck Johnthan ametangaza hali ya hatari katika majimbo matatu kaskazini mwa nchi. Akifafanua zaidi ameongeza…

Continue Reading....

Wagonjwa wa Akili Watoroka Hospitalini Kenya, Boko Haram wamewateka Watoto

Posted on: May 13, 2013 - jomushi
Wagonjwa wa Akili Watoroka Hospitalini Kenya, Boko Haram wamewateka Watoto

POLISI wanawatafuta wagonjwa karibia arobaini waliotoroka kutoka hospitali ya watu wenye matatizo ya kiakili, mjini Nairobi ya Mathare. Wagonjwa hao wanasemekana waliwashinda nguvu walinzi wao…

Continue Reading....

Ulinzi Wahimarishwa Uchaguzi Nchini Pakistan

Posted on: May 11, 2013May 11, 2013 - jomushi
Ulinzi Wahimarishwa Uchaguzi Nchini Pakistan

MAMILIONI ya raia wa Pakistan wanashiriki katika uchaguzi wa kihistoria utakaoonesha demokrasia katika kipindi cha mpito kwenye nchi inayomiliki silaha za nyuklia na nchi iliotawaliwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari