Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 68

Category: Habari za Kimataifa

Baada ya Walimu Kugoma Kenya, Wanafunzi Wagida Pombe Baa

Posted on: July 8, 2013 - jomushi
Baada ya Walimu Kugoma Kenya, Wanafunzi Wagida Pombe Baa

POLISI wa Kenya wamewakamata zaidi ya wanafunzi elfu moja baada ya kupatikana wakiwa walevi mjini Nairobi wikendi hii. Polisi waliendesha msako katika baa anuai na…

Continue Reading....

Familia ya Mandela Washikana Ugoni

Posted on: July 8, 2013 - jomushi
Familia ya Mandela Washikana Ugoni

*Mandla amtuhumu Mbuso kuzaa na mkewe CHIFU Zwelivelile Mandlesizwe Dilubhunga ‘Mandla’ Mandela (39), ambaye ni mjukuu mkubwa wa kiume wa Rais mstaafu wa Afrika Kusini,…

Continue Reading....

Moyo wa Mandela Ulisimama – Daktari

Posted on: July 7, 2013 - jomushi
Moyo wa Mandela Ulisimama – Daktari

KUHARIBIKA kwa gari la wagonjwa lililombeba Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, kulisababisha moyo wa shujaa huyo kusimama kwa dakika 40. Hayo yalibainishwa…

Continue Reading....

Mandela Aikoroga Afrika Kusini

Posted on: July 6, 2013 - jomushi
Mandela Aikoroga Afrika Kusini

*Mjukuu ataka Winnie, Graca wasiingilie ukoo *Askofu Tutu, Zuma, Makamu wa Rais waingilia SASA kuna dalili kuwa familia ya rais wa kwanza mweusi wa Afrika…

Continue Reading....

Rais wa Muda wa Misri Aapishwa

Posted on: July 4, 2013 - jomushi
Rais wa Muda wa Misri Aapishwa

JAJI Mkuu wa Mahakama ya Juu zaidi ya kikatiba ameapishwa nchini Misri kuwa rais wa muda baada ya jeshi kumng’oa madarakani rais aliyechaguliwa na raia…

Continue Reading....

Mjukuu wa Mandela Ashindwa Kesi ya Makaburi

Posted on: July 4, 2013 - jomushi
Mjukuu wa Mandela Ashindwa Kesi ya Makaburi

MJUKUU wa Mzee Nelson Mandela, Mandla Mandela ameshindwa kesi iliyowasilishwa mahakamani dhidi yake kwa tuhuma za kufukua makaburi ya jamaa za familia yake katika mzozo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari