Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 65

Category: Habari za Kimataifa

Moto ‘Wateketeza’ Uwanja wa Ndege wa Kenya

Posted on: August 7, 2013August 7, 2013 - jomushi
Moto ‘Wateketeza’ Uwanja wa Ndege wa Kenya

UWANJA wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta umefungwa kwa muda baada ya moto mkubwa kutokea katika uwanja huo mjini Nairobi. Kwa sasa moto huo…

Continue Reading....

Tsvangirai Kufungua Kesi Kupinga Matokeo ya Uchaguzi

Posted on: August 6, 2013 - jomushi
Tsvangirai Kufungua Kesi Kupinga Matokeo ya Uchaguzi

SIKU moja baada ya Rais Robert Mugabe na Zanu PF kutangazwa kushinda Uchaguzi Mkuu nchini Zimbabwe, baadhi ya wafuasi wa upinzani kutoka chama cha MDC…

Continue Reading....

Mugabe Ambwaga Tsvangirai Uchaguzi Mkuu Zimbabwe

Posted on: August 5, 2013August 6, 2013 - jomushi
Mugabe Ambwaga Tsvangirai Uchaguzi Mkuu Zimbabwe

RAIS Jacob Zuma wa Afrika Kusini amempongeza Robert Mugabe (89) kwa kuchaguliwa tena kuiongoza Zimbabwe, baada ya kumshinda mpinzani wake Morgan Tsvangirai katika muhula wa…

Continue Reading....

Mugabe Ahaidi Kung’atuka Akishindwa Uchaguzi

Posted on: July 31, 2013 - jomushi
Mugabe Ahaidi Kung’atuka Akishindwa Uchaguzi

RAIA wa Zimbabwe wanapiga kura katika uchaguzi wa Urais unaotajwa kuwa na ushindani mkali huku kukiwa na madai ya udanganyifu. Rais Robert Mugabe wa miaka…

Continue Reading....

Papa Francisco Awataka Wakristu Kutopenda Mali na Madaraka

Posted on: July 26, 2013 - jomushi
Papa Francisco Awataka Wakristu Kutopenda Mali na Madaraka

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Baba Mtakatifu Francisco, amewataka Wakristu Wakatoliki kuachana na kile alichokiita kupenda mali na madaraka. Wito huo ameutoa wakati akiadhimisha Ibada…

Continue Reading....

Mbakaji Maarufu Ajinyoga Gerezani

Posted on: July 26, 2013 - jomushi
Mbakaji Maarufu Ajinyoga Gerezani

MWANAMUME anayetuhumiwa kwa makosa mengi ya umbakaji, ‘mbakaji sugu’ nchini Afrika Kusini, Sifiso Makhubo, amekutwa akiwa amefariki katika chumba chake gerezani. Sifiso Makhubo, aliyekuwa anakabiliwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari