Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 64

Category: Habari za Kimataifa

Rais Mugabe Azitishia Marekani, Uingereza

Posted on: August 26, 2013 - jomushi
Rais Mugabe Azitishia Marekani, Uingereza

RAIS Robert Mugabe wa Zimbabwe ameyaonya mataifa ya Marekani na Uingereza na kuzitaka ziondoe vikwazo dhidi ya nchi yake, ama sivyo Zimbabwe italipiza kisasi. Alisema…

Continue Reading....

Maofisa 24 wa Polisi Misri Wauwawa, Mohammed Badie Akamatwa

Posted on: August 20, 2013 - jomushi
Maofisa 24 wa Polisi Misri Wauwawa, Mohammed Badie Akamatwa

TAKRIBAN maofisa 24 wa Polisi nchini Misri wameuawa kwenye shambulizi la kushtukiza katika eneo la Rasi la Sinai. Taarifa zinasema polisi hao walikuwa kwenye msafara…

Continue Reading....

Wanamgambo Wawauwa Polisi kwa Risasi Kenya

Posted on: August 19, 2013 - jomushi
Wanamgambo Wawauwa Polisi kwa Risasi Kenya

WANAMGAMBO wa kisomali wamewauawa kwa kuwapiga risasi polisi wanne wa Kenya karibu na mpaka wa Somalia, maofisa wamesema. Takriban watu 40 waliojihami kwa silaha walishambulia…

Continue Reading....

Michel Djotodia Aapishwa Kuwa Rais

Posted on: August 19, 2013 - jomushi
Michel Djotodia Aapishwa Kuwa Rais

KIONGOZI wa zamani wa waasi ambaye alifanya mapinduzi katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, Michel Djotodia ameapishwa kuwa rais. Djotodia ameahidi kuandaa uchaguzi kufikia mwanzo…

Continue Reading....

Oprah Winfrey ‘Adhalilishwa’ Switzerland

Posted on: August 10, 2013 - jomushi
Oprah Winfrey ‘Adhalilishwa’ Switzerland

MWANAMKE maarufu duniani, Oprah Winfrey amekumbana na kitendo cha ubaguzi wa rangi nchini Switzerland baada ya muuza duka mmoja kukataa kumuuzia mkoba wa kike wa…

Continue Reading....

MDC Wamfikisha Robert Mugabe Mahakamani

Posted on: August 10, 2013 - jomushi
MDC Wamfikisha Robert Mugabe Mahakamani

CHAMA cha Movement for Democratic Change (MDC) nchini Zimbabwe kimewasilisha malalamiko yake mahakamani kupinga ushindi wa Robert Mugabe katika uchaguzi wa rais wa wiki iliyopita.…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari