Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 63

Category: Habari za Kimataifa

Mwanamke Atengeneza Mimba Kuficha Dawa za Kulevya, Cocaine

Posted on: September 12, 2013 - jomushi
Mwanamke Atengeneza Mimba Kuficha Dawa za Kulevya, Cocaine

RAIA mmoja wa nchi ya Canada amekamatwa nchini Colombia baada ya kujaribu kupanda ndege kurejea Canada akiwa na tumbo bandia la ujauzito alimokuwa ameficha dawa…

Continue Reading....

William Ruto Aifuata Kesi Yake The Hague

Posted on: September 9, 2013 - jomushi
William Ruto Aifuata Kesi Yake The Hague

MAKAMU wa Rais wa Kenya William Ruto anakwenda The Hague, Uholanzi, ikiwa ni siku moja kabla ya kuanza kesi inayomkabili katika Mahakama ya Kimataifa ya…

Continue Reading....

G20 Watofautiana Kuhusu Syria, Papa Ataka Yafanywe Maombi ya Amani

Posted on: September 8, 2013 - jomushi
G20 Watofautiana Kuhusu Syria, Papa Ataka Yafanywe Maombi ya Amani

MKUTANO wa viongozi wa nchi 20 zinazoongoza kiuchumi duniani, G20 umefanyika Septemba 6, 2013 huku viongozi hao wakitofautiana kuhusu mzozo wa Syria na Baba mtakatifu…

Continue Reading....

Mohammed Morsi Afunguliwa Mashtaka ya Uchochezi

Posted on: September 3, 2013 - jomushi
Mohammed Morsi Afunguliwa Mashtaka ya Uchochezi

KIONGOZI wa mashtaka nchini Misri, amependekeza kuwa aliyekuwa Rais Mohammed Morsi afunguliwe mashtaka kwa kosa la kuchochea mauaji ya waandamanaji. Tuhuma hizo zinahusiana na ghasia…

Continue Reading....

Rais Obama Aomba Bunge Kuidhinisha Vita, Mandela Atoka Hospitali Akiwa Mahututi

Posted on: September 1, 2013 - jomushi
Rais Obama Aomba Bunge Kuidhinisha Vita, Mandela Atoka Hospitali Akiwa Mahututi

HAIKUSADIKIKA kuwa Marekani itachukua hatua za haraka za kijeshi dhidi ya Syria, baada ya Rais Barack Obama wa nchi hiyo kuliomba bunge lake kuidhinisha shambulio.…

Continue Reading....

Watoto Wanyanyaswa Kingono Migodini Tanzania

Posted on: August 29, 2013 - jomushi
Watoto Wanyanyaswa Kingono Migodini Tanzania

SHIRIKA la haki za binaadamu la Human Rights Watch limechapisha ripoti inayoelezea mazingira magumu wanayokumbana nayo watoto wanaojiingiza kwenye ajira ya uchimbaji madini nchini Tanzania,…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari