Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 59

Category: Habari za Kimataifa

(Video) Inasikitisha, Angalia Jinsi Ilivyokuwa Al Shabaab Walivyovamia Mall

Posted on: October 18, 2013 - admin
(Video) Inasikitisha, Angalia Jinsi Ilivyokuwa Al Shabaab Walivyovamia Mall

Continue Reading....

Rwanda, Tanzania zinautawala bora zaidi EAC

Posted on: October 17, 2013 - admin
Rwanda, Tanzania zinautawala bora zaidi EAC

Na James Gashumba,EANA   Arusha, Oktoba 17, 2013 (EANA)– Tasisi ya Mo Ibrahim juu ya Utawala Bora Afrika, imebaini nchi za Rwanda na Tanzania kuwa…

Continue Reading....

Ndege Yaanguka na Kuuwa Abiria Wote

Posted on: October 16, 2013 - jomushi
Ndege Yaanguka na Kuuwa Abiria Wote

ABIRIA wote waliokuwa wanasafiri na ndege moja nchini Laos wamefariki baada ya ndege iliyokuwa imewabeba kuanguka mtoni Kusini mwa nchi hiyo. Maofisa kutoka nchi jirani…

Continue Reading....

WFP Yataka Lishe Kuwa Suala la Msingi Katika Mipango ya Maendeleo

Posted on: October 16, 2013 - jomushi
WFP Yataka Lishe Kuwa Suala la Msingi Katika Mipango ya Maendeleo

SHIRIKA la Mpango wa Chakula wa Umoja la Mataifa (WFP) linaadhimisha Siku ya Chakula Duniani tarehe 16 Oktoba kwa kusisitiza umuhimu wa lishe katika kumbadilisha…

Continue Reading....

EAC Wakubaliana Mgawanyo wa Vituo vya Mafunzo ya Polisi

Posted on: October 15, 2013 - jomushi
EAC Wakubaliana Mgawanyo wa Vituo vya Mafunzo ya Polisi

By James Gashumba, EANA Wakuu wa majeshi ya polisi ya nchi wanachama za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wamekubaliana kuanzisha vituo mbalimbali vya mafunzo vyenye…

Continue Reading....

Mwapachu Ataka 2014 Utangazwe Mwaka wa EAC

Posted on: October 12, 2013 - jomushi
Mwapachu Ataka 2014 Utangazwe Mwaka wa EAC

Na Isaac Mwangi, EANA, Arusha KATIBU Mkuu wa zamani wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) Juma Mwapachu amependekeza kwamba mwaka 2014 utangazwe kuwa Mwaka wa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari